The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,968
- 13,439
Kama alikosea kama binadamu tumsamehe. Ila kama alionea basi Mungu ampe mabalaa zaidi ili liwe somo kwa wengine.
Sawa kabisa mkuu liverpool usisahau kwenda na kamera kabisa ili uje na picha za kutosha!!ikibidi mwambie avue na nguo kabisa umtwange picha ili tuone ukurutu. Uliomganda mwilini,wanacheza na Mungu hawa.Ngoja nami nitafika nyumbani kwa Mussa Mukangaa!
Tena si nyingi ngoja tu nisikie kama ana auheni angalau!
Hapa ndiyo Jf bana! Alaaaa!!
Wewe hata ukibakwa utaleta thread hapa
Mkuu umefanya vizuri,tena na kusifiwa ukasifiwa! Wasikuvuruge hawa!
Wewe si mtu makini, kama kweli ulienda kumjulia hali Jaji, kulikuwa na haja gani ya kuyaweka mazungumzo yenu hapa? Wewe ni msaliti kweli kweli.