Nyumbani kwa JAJI Rwakibalira

Very unprofessional journalism!! Ni aibu kuwa na mwandishi wa aina yako, sababu zangu ni hizi:

a) Kama unafahamiana nae na ulikwenda kumsabahi, ungeelewa maumivu yake na ukaishia hapo tu. Kama mgonjwa ana haki ya kutotaka kufahamika kwa hali ya ugonjwa wake!!
b) Kuzungumzia kesi ya Lema ambayo ni yeye aliamua ni kosa kimaadili tu, bali ni kumchokoza. Ulitaka maoni yake ili iwe nini? Hili si swala la maoni, ni swala la facts na sheria.

Lakini ungekuwa jasiri, usingemfuata mgonjwa. Hebu waliuze akina EL, EC, JK et al. kuhusu EPA, Radar tupate kusikia "maoni" yao.

Usipokaribishwa tena kwenye nyumba ya Jaji Rwakibarila, usiseme kakuonea au ni mtu mbaya. Watu wa aina yako ndio huitwa wazandiki!!!

Kwa viwango vya ukandamizaji wa haki ya kua na kujlishwa vya CCM watawala wetu huu ni uzandiki. Mmenyamaza kimya kuhusu Mwanahalisi ili wasitumie haki yao kikatiba kutujulisha.

HII NCHI NI YETU WOTE KANDAMIZENI VYOTE NA KUJITAHIDI KUZIMA FIKRA LAKINI ZITAIBUKA NA PENGINE NA NYINYI WENYEWE KWA NGUVU NA KUUSHINDA UPUUZI HUU.
 
Angekosa ustaarabu kama angetueleza phyisical appearance ya judge yaani kama angesema alivaa nguo imechanika,uso umemshuka,ana aibu n.k lakini amejumuisha tuu hana kosa

Napata shida kukubali kuwa alichofanya ni sawa. Hebu soma comments za watu humu wengi wanaunganisha kuugua kwake na maamuzi katika kesi ya Lema. Pia anatuambia "ni kweli amepooza" kwa hiyo alienda kuthibitisha kama amepooza kweli au la. Anyway, kila mmoja na mtazamo wake.
 
Napata shida kukubali kuwa alichofanya ni sawa. Hebu soma comments za watu humu wengi wanaunganisha kuugua kwake na maamuzi katika kesi ya Lema. Pia anatuambia "ni kweli amepooza" kwa hiyo alienda kuthibitisha kama amepooza kweli au la. Anyway, kila mmoja na mtazamo wake.

Eti we msiri wa hommie Kaizer unafanya gani hapa?
 
Last edited by a moderator:
hao ndiyo mawakili wetu wa siku hizi..... wenyewe wanajiita 'the learned brothers"
 
Kimaadili, hata tumteteaje mtoa mada, ni kwamba amekatika! Huu sio ustaarabu kabisa, labda awe ameruhusiwa na Jaji mwenyewe!
Mtoa mada anaonyesha tabia ya mtu asiyeaminiwa!
Halafu nina mashaka kama kweli alienda yeye, maana kwa mtu mwenye utashi hawezi kufanya hivi.
 
nampa pole mh.jaji augue pole ni wakati wake sasa ametubu kwa dhambi aliyo fanya ya kumvua ubunge g.lema kule arusha .wananchi na wakazi walihuzunika na kutamka kuwa ulitumwa na kazi ukakamilisha ,walilia sana kwa kuwaondolea mwakilishi wao bungeni ,habari hizi zilikuja kama tetesi na walikuwa wananong,ona kuwa mh ,jaji amepooza .kwa kauli yako pengine wapo wataosoma watakuelewa na wengine hawakuelewa ,ufarijike na uugue pole .
 
Mussa mkanga na wale ma-----yawaliofungua hiyo kesi feki nao wanatakiwa waparalyze hadi utumbo!!wabaya sana hawa watu pamoja na jaji wao huyo!!hivi nyie mnaomwombea maisha marefu mmejiuliza dhahma ambayo ingeweza kutokea kutokana na maamuzi yake ya kiuaji?hivi wananchi wa arusha ambao wengi ni wafuasi wa lema wangeamua kupinga maamuzi yake kwa vitendo ni roho ngapi zingepotelea barabarani?je chuki na majonzi ya wana arusha yangechukua muda gani? Na yangesababisha madhara kiasi gani? The last bullet that would change the history!! Siwezi kumpenda adui eti kisa ni mgonjwa!! Ni unafiki wa ki wendawazimu,ikiwa ungefia kwenye vurugu ambazo zingesababishwa na maamuzi yake ya hovyo ungekuwa makaburini leo,na usingemtetea yule anayeelekea kuja huko kwa maamuzi halali ya mwenyeezi Mungu.
 
Jana jioni,nilimtembelea Jaji Gabriel Rwakibalira,aliyemvua ubunge Godbless Lema, nyumbani kwake Kimara.Ni kweli amepooza kwa kiasi fulani.Si yule. Kwa ufupi mazungumzo yetu yalikuwa hivi:

Yeye(akinyanyuliwa ili akae kwa mazungumzo): Karibu Wakili!

Mimi: Asante Mh.Jaji,Shikamoo!

Yeye: Marhaba! Haya lete habari...hawajambo nyumbani kwako?

Mimi: Hawajambo Mh. Jaji,wanakusalimu wote. Pole kwa matatizo yanayokukabili

Yeye(akilengwalengwa na machozi) : Asante Wakili. Namshukuru Mungu kwa kila jambo

Mimi(nikamdokeza kinachoendelea kuhusu rufaa ya Lema halafu...) : Unaionaje?

Yeye: Anaweza kushinda.Yawezekana nilifanya makosa. Lakini,kwenye ujaji hakuna ukamilifu...hakuna kabisa

Mimi : Ni kweli. Mh. Jaji, matibabu yanaendeleaje lakini? (kwakuwa bado hatembei-amepooza kiasi fulani)

Yeye : Nilikwenda India,halafu nikarudishwa nchini.Naendelea vyema kwasasa. Lakini,kazini siendi. Unadhani nitaweza kwa hali hii kweli?(Akacheka)

Mimi: Hapana Mh.Jaji.

Baada ya hapo tuliendelea na mazungumzo mengine ya kifamilia pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliojumuika nasi.



WATOTO HATA TUKIWAKIMBIA FACEBOOK BADO WANATUFUATA HADI HUKU??

DAH,,HUKU HAKUWAFAI,HAMSKII??

EBO..!
:frusty::frusty:
 
Very unprofessional journalism!! Ni aibu kuwa na mwandishi wa aina yako, sababu zangu ni hizi:

a) Kama unafahamiana nae na ulikwenda kumsabahi, ungeelewa maumivu yake na ukaishia hapo tu. Kama mgonjwa ana haki ya kutotaka kufahamika kwa hali ya ugonjwa wake!!
b) Kuzungumzia kesi ya Lema ambayo ni yeye aliamua ni kosa kimaadili tu, bali ni kumchokoza. Ulitaka maoni yake ili iwe nini? Hili si swala la maoni, ni swala la facts na sheria.

Lakini ungekuwa jasiri, usingemfuata mgonjwa. Hebu waliuze akina EL, EC, JK et al. kuhusu EPA, Radar tupate kusikia "maoni" yao.

Usipokaribishwa tena kwenye nyumba ya Jaji Rwakibarila, usiseme kakuonea au ni mtu mbaya. Watu wa aina yako ndio huitwa wazandiki!!!

Nakubaliana na wewe mkuu, zaidi ya hapo the guy is not sensible, hivi mazungumzo yao kuja kuyaanika hapa jamvini alifikiri kwamba jaji hatapata taarifa? Nini hatima ya mahusiano yake na jaji? Mambo mengine sio yakukurupukia.
 
Jana jioni,nilimtembelea Jaji Gabriel Rwakibalira,aliyemvua ubunge Godbless Lema, nyumbani kwake Kimara.Ni kweli amepooza kwa kiasi fulani.Si yule. Kwa ufupi mazungumzo yetu yalikuwa hivi:

Yeye(akinyanyuliwa ili akae kwa mazungumzo): Karibu Wakili!

Mimi: Asante Mh.Jaji,Shikamoo!

Yeye: Marhaba! Haya lete habari...hawajambo nyumbani kwako?

Mimi: Hawajambo Mh. Jaji,wanakusalimu wote. Pole kwa matatizo yanayokukabili

Yeye(akilengwalengwa na machozi) : Asante Wakili. Namshukuru Mungu kwa kila jambo

Mimi(nikamdokeza kinachoendelea kuhusu rufaa ya Lema halafu...) : Unaionaje?

Yeye: Anaweza kushinda.Yawezekana nilifanya makosa. Lakini,kwenye ujaji hakuna ukamilifu...hakuna kabisa

Mimi : Ni kweli. Mh. Jaji, matibabu yanaendeleaje lakini? (kwakuwa bado hatembei-amepooza kiasi fulani)

Yeye : Nilikwenda India,halafu nikarudishwa nchini.Naendelea vyema kwasasa. Lakini,kazini siendi. Unadhani nitaweza kwa hali hii kweli?(Akacheka)

Mimi: Hapana Mh.Jaji.

Baada ya hapo tuliendelea na mazungumzo mengine ya kifamilia pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliojumuika nasi.

Mwenyezi Mungu atamuafu kwa maradhi yanayomsibu
 
Nakubaliana na wewe mkuu, zaidi ya hapo the guy is not sensible, hivi mazungumzo yao kuja kuyaanika hapa jamvini alifikiri kwamba jaji hatapata taarifa? Nini hatima ya mahusiano yake na jaji? Mambo mengine sio yakukurupukia.
Acheni uzushi,nini kibaya hapo? Kwa taarifa yenu,JAJI amenipigia na kunisifu kwa kutoa taarifa ya kweli. Kuweni makini kihoja. Ujumbe kwa MwaJ pia
 
Nakubaliana na wewe mkuu, zaidi ya hapo the guy is not sensible, hivi mazungumzo yao kuja kuyaanika hapa jamvini alifikiri kwamba jaji hatapata taarifa? Nini hatima ya mahusiano yake na jaji? Mambo mengine sio yakukurupukia.
Acheni uzushi,nini kibaya hapo? Kwa taarifa yenu,JAJI amenipigia na kunisifu kwa kutoa taarifa ya kweli. Kuweni makini kihoja. Ujumbe kwa MwaJ,MWITONGO na wapinzani wengine wa uzi huu pia. Efatha..!
 
Too personal, haikufaa kuleta hapa maongezi, wakati mwingine utaleta hata ya ch.....ni kama umeoa au kuolewa, counsel hii haikubaliki
 
Jana jioni,nilimtembelea Jaji Gabriel Rwakibalira,aliyemvua ubunge Godbless Lema, nyumbani kwake Kimara.Ni kweli amepooza kwa kiasi fulani.Si yule. Kwa ufupi mazungumzo yetu yalikuwa hivi:

Yeye(akinyanyuliwa ili akae kwa mazungumzo): Karibu Wakili!

Mimi: Asante Mh.Jaji,Shikamoo!

Yeye: Marhaba! Haya lete habari...hawajambo nyumbani kwako?

Mimi: Hawajambo Mh. Jaji,wanakusalimu wote. Pole kwa matatizo yanayokukabili

Yeye(akilengwalengwa na machozi) : Asante Wakili. Namshukuru Mungu kwa kila jambo

Mimi(nikamdokeza kinachoendelea kuhusu rufaa ya Lema halafu...) : Unaionaje?

Yeye: Anaweza kushinda.Yawezekana nilifanya makosa. Lakini,kwenye ujaji hakuna ukamilifu...hakuna kabisa

Mimi : Ni kweli. Mh. Jaji, matibabu yanaendeleaje lakini? (kwakuwa bado hatembei-amepooza kiasi fulani)

Yeye : Nilikwenda India,halafu nikarudishwa nchini.Naendelea vyema kwasasa. Lakini,kazini siendi. Unadhani nitaweza kwa hali hii kweli?(Akacheka)

Mimi: Hapana Mh.Jaji.

Baada ya hapo tuliendelea na mazungumzo mengine ya kifamilia pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliojumuika nasi.

Madhambi mengine twalipa hapa hapa duniani tukiwa hai!! Cheza na sauti na nguvu ya Mungu wewe!! na ndiyo mwisho wake!! Kumbe aliparalaisi? Ha ha ha ha !! Asante kwa taarifa njema
 
Back
Top Bottom