Nyumba za Masanja Mkandamizaji

Nyumba za Masanja Mkandamizaji

Hiyo nyumba mbona ya kawaida sana. Watu wengi humu inaelekea ni maskini sana.

Nina wasi wasi we ni maskini mwenzetu ila unajikweza tu!!!

Hivi unaelewa maana ya kawaida? Wangapi wana uwezo wa kujenga ghorofa? Naomba niwekee picha ya nyumba yako nijue nyumba isiyo ya kawaida inafananaje!

Next time give credit where credit is due!
 
Hiyo nyumba mbona ya kawaida sana. Watu wengi humu inaelekea ni maskini sana.

lengo ya hii post si kutaka kusema eti umasikini ama utajiri,lengo ni kuonyesha kuwa wasanii wanaokufa masikini huku wakiwa na madawa ya kulevya mifukoni mwao ni kujitakia,hii inafikisha ujumbe kwa wasanii wapenda ngono na walevi kuwa inawezekana ukafanya kama alichofanya masanja ama Prof J,
sasa wewe umekuja na mambo mengine kabisa yasiyo na msingi wala mwelekeo wa kufundisha.
 
Hongera sana Masanja na wasanii wengine waige si kulewa pombe, madawa na uzinzi tu. Mnaleta aibu sana katika jamii.
Hao wanapata hela nyingi tu, huyo kafanya kitu chenye akili.Kuna mwingine amekunywa pombe mpaka amezima kwa takriban miaka miwili sasa utafikiri yule waziri mkuu wa ISRAEL.
 
kumbe kujenga nyumba ni kitu kikubwa sana eeeee heshima eee
 
Akianza kuumwa atauza nyumba au atapisha bakuli kila ck?
 
Angalau Masanja ameonyesha njia na kuwa kielelezo kwa Wasanii wengine ambao wanapenda umaarufu wa kuandikwa magazeti ya udaku ati wamelala na wanawake/ wanaume wangapi, wana shilingi ngapi benki, wana magari mangapi, mabangi, pombe, "unga' na ugomvi.
 
Akianza kuumwa atauza nyumba au atapisha bakuli kila ck?

mijitu mingine bwana, kwahiyo hatakiwi kufanya analoona ni maendeleo kwake kwa kuhofia pesa ya kujiuguza? wewe unajua ataumwa nini na lini au alikuambia ameshaanza kuumwa?
 
sema kwa sauti kubwa sio kama dudu imezama...

Duh, ama kweli; moyo ni mdanganyifu kuliko vyote, tena una ugonjwa wa kutisha!
Nimekumbuka lile neno; linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ktk moyo ndimo zilipo chemchem za uzima.
 
nyumba ya kawaida lakini ni hatua kapiga wasanii wangapi wako wanashindwa kufanya kama yeye... Wanapofanya vizuri tuwape hongera zao acha wivu we ndo maskini wa fikra

achana nae huyo hana lolote analala sebuleni kwakakake afande kwenye ghorofa la polisi msimbazi yeanajua ni lakakake.
 
Chanzo cha mapato siyo inshu, watu wanavyo vyanzo vya mapato lakini hawana hata chumba kimoja.

licha yamiradi mingine nisoijua,mpunga pekeyake unatosha kujenga zaidi yahizo mnazoziona,endeleeni kuvaa mlegezo mjini nakuhoji vyanzo vyamapato vyawanaofanikiwa.
 
Back
Top Bottom