Ukitaka kujuwa watu wenye roho za kimaskini, kwanza wana fikra za kumiliki nyumba.
weka na ya Kigamboni haiko miongoni mwa hizi
Hiyo nyumba mbona ya kawaida sana. Watu wengi humu inaelekea ni maskini sana.
tuwekee za yule mhaya
Diadomo anayo kama hiyo?
chanzo chake cha mapato kinamruhusu kuwa na hizo nyumba? au anasafirisha
kigambn nako ana nyumba
Diadomo anayo kama hiyo?
Za BEPARI la KIHAYA sina, but hawa jamaa wako serious na life.