Nyumba za kupanga uswahilini shida

Nyumba za kupanga uswahilini shida

Nyumba za kpanga zina vituko vingi mno na kupitia vituko hivyo tunajifunza mengi mno juu ya walimwengu na ulimwengu na labda hao jirani walikuchukulia ki-ujirani tu na wakapenda mat lako kama ungekuwa na mawili ungemwita tu huyo mwanamke badala ya kumletea niaje unampa Doormat ingine unamwambia iekeni pale mlangoni kwenu muwe mnajifutia miguu...Hakika usingepungukiwa na unachukulia ni moja ya sadaka umetoa...
positivity [emoji4] [emoji4]
 
isee hatari sana,heri ya hilo mimi niliwahi kukaa nyumba,mpangaji mwenzangu alikuwa anaishi na nyoka,alikuwa akikaa kwenye ngazi unamuona anakaa naye anamshika shika,akiondoka na gari yake anamuweka kwenye gari anaondoka,usiku nikiwa nimelala saa saba nikichungulia kwenye dirisha namuona amekaa nje na nyoka wake
Inawezekana huyo alikuwa hata demu wake... Nakumbuka clip moja nliiona mwaka 2014 jamaa anampiga nyoka mashine...
 
Bro fikilia mara mbili act angekuwa yeye!
Hata mara 3 Mkuu mbona sio kitu kikubwa chakutafuta ugonvi usio na sababu ya msingi,kumbuka kua kila mmoja wetu amelelewa tofauti kwao sasa kuna wengine wakorofi wengine wastarabu wengine wanakubali yaishe na wala kumnyamazia mtu sio kama unamuogopa au wewe ni dhaifu bali ni uungwana na kama asinge penda angelifungia ndani kwake wangepata msg...
 
Mi nimepanga sometimes naogea ndoo ya huyu jamaa hapa chumba cha pembeni sijui atakuwa hajisikii vizuri.. Dah.
 
Hata mara 3 Mkuu mbona sio kitu kikubwa chakutafuta ugonvi usio na sababu ya msingi,kumbuka kua kila mmoja wetu amelelewa tofauti kwao sasa kuna wengine wakorofi wengine wastarabu wengine wanakubali yaishe na wala kumnyamazia mtu sio kama unamuogopa au wewe ni dhaifu bali ni uungwana na kama asinge penda angelifungia ndani kwake wangepata msg...
Bro uwezi ukaweka ndani kwa sababu yao then kwanini walitumie hizi ni dharau bro .kwanini labda ingekuwa ndoo ya chooni lakini sio zuria bro fikilia tena nafasi bado unayo
 
Waambie wachukue hilo zuri lako waweke kwao ili wasukusumbue (WAPE BURE TU)
 
Yeye na mumewe siwaherewi ! siku moja nilimuona mumewe katoka chooni akaenda kwenye malango wa chumba changu akajifuta miguu yake kwenye zuria langu la mlangoni alivyo maliza akaenda chumbani kwake siku hiyo nikadharau. Khee ! tena juzi namuona mkewe kafanya kama alivyofanya mumewe sasa nikashangaa sana nikaona bora nimwambie huyo dada nikamtafutia muda akiwa peke yake hili nimwambie ukweli kwamba sipendizewi na hiyo tabia. kheee ! baada ya kumwambia bidada .yeye na mumewe wamenichunia salamu namie hawataki

Kuchukia kwao ni sawa kwa sababu ukweli unauma!
 
Na wewe ukitoka kuogga futia kwenye zuria lao....ngoma droo....ha han haa haaaa

cc mshana jr

Simshauri kufanya kama wao, akubali kuwa "mpumbavu" wakati si mpumbavu. Nyumba za kupanga na hasa uswahilini, zina vituko! azivumilie mpaka atapojaaliwa kujenga yake.
 
Bro uwezi ukaweka ndani kwa sababu yao then kwanini walitumie hizi ni dharau bro .kwanini labda ingekuwa ndoo ya chooni lakini sio zuria bro fikilia tena nafasi bado unayo
anyway kila mtu na mawazo yake na anavyochukulia vitu sawa........
 
kwani we umekulia wapi mbona hayo mambo hayatupi shida kabisa huku kwetu uswahilini tushazoea
unaweza kuchukua lap lap la jirani la kuogea ukaenda ogea
 
Yeye na mumewe siwaherewi ! siku moja nilimuona mumewe katoka chooni akaenda kwenye malango wa chumba changu akajifuta miguu yake kwenye zuria langu la mlangoni alivyo maliza akaenda chumbani kwake siku hiyo nikadharau. Khee ! tena juzi namuona mkewe kafanya kama alivyofanya mumewe sasa nikashangaa sana nikaona bora nimwambie huyo dada nikamtafutia muda akiwa peke yake hili nimwambie ukweli kwamba sipendizewi na hiyo tabia. kheee ! baada ya kumwambia bidada .yeye na mumewe wamenichunia salamu namie hawataki
waachie hilo zuria kwa kuwawekea mlangoni kwao
 
Walivyokununia maana yake msg delivered. Hawatarudia tena kutumia zulia lako.
 
Hahaaa ila vitu vingine bwana inabd tu ucheke..yani hao n wabinafs na sio wastaarabu utafutiaje miguu zuria la mwenzio afu mtu na mke wake ..ovyoo m ningewachamba hatare mbona chumba changu wangekiona cha moto..mfyuuu
 
Ndo maana nikienda panga sitaki usumbufu wa watu wengi...... mmoja pekee yatosha mambo ya kushea choo hapana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom