Nyumba ya Nyerere Msasani yavamiwa!

Nyumba ya Nyerere Msasani yavamiwa!

Mimi ni jirani maeneo haya na tukio hilo lina takban siku tano zilizopita, na nyumba iliyoibiwa si mama maria nyerere kamtoa mada alivyoainisha nyumba iliyoibiwa ni nyumba ya kulala shamba boy(wahudumu wa bustan) na wezi tayari wamekwisha kamatwa walikuwa marafiki wa hao shamba boy na waliwatembelea siku moja kabla ya tukio.

Kwa taarifa zaidi fatilia kituo cha polisi oysterbay

Hata kama nyumba walioiba ni ya shamba boy lakin ipo ndani ya fence moja,cha kujiuliza ina maana walinzi hawakuwepo? Kama walikuwepo hao jamaa walipita sehemu gani na TV,computer? Kwa wizi uliotokea inatupa picha kwamba hakuna ulinzi hapo.
 
Aliyeleta hapa hiyo mada alikuwa hajafikiria kuwa ni upuuzi aliouleta? si kila linaloandikwa kwenye magazeti ni ukweli.

Mjumbe hauwawi dada yangu!

Mbona habari za CHADEMA huwa unashabikia bila kuhoji?!
 
Hili nalo haliingi akilini, yaani majambazi yanaingia hadi ndani, wapi walinzi? ina maana mama wa taifa angekuwemo na afanyiwe vitendo viovu hivi tungeficha wapi sura zetu?

kama ni kweli sasa this is too much..... (Tuangalia utaratibu wa kutafuta wawekezaji kwenye ulinzi wa viongozi wetu)
 
Kuna watu akili zao huenda kutembea.mpaka wanatumwa wanafanikiwa walinzi wanakuwa chooni au.
 
Duh!!Ama kweli kikwete aliposema urais ni mambo binafsi hakukosea,wizi mpaka kwa baba wa taifa??lol
Mpaka aondoke madarakani tutaibiwa mpaka korodani zote tukiwa tumelala!!!kha!!


ha ha ha haaaa.... yaani nimecheka sana kwa kweli. asante kwa kuniongezea siku za kuishi mkuu...
 
Mjumbe hauwawi dada yangu!

Mbona habari za CHADEMA huwa unashabikia bila kuhoji?!

Sijashabikia hata siku moja kuwa atoke Rais chadema, hilo sahau. Tunaloshabikia chadema ni kuwaponda tu, kwa uzinzi uliokithiri huko, ya kiongozi kupora mke wa mtu, ya kiongozi kumzalisha nje ya ndoa mbunge wake wa viti maalum (Joisi) na kwenda nae kula raha Dubai wakati ana mke na watoto ambao kawaacha nyumbani.

Hutosikia mwana CCM akishabikia eti Rais atatoka chadema. Hizo ni ndoto za alinacha kwa sasa.
 
wewe ukilala funga mlango wako vizuri kama kuna mhuni atakuingilia. Si kila jambo ni kulaumu serikali ht mtu akijisaidia bila kuchamba mtasema serikali

Tunachohitaji kujua hii nyumba kulikuwa na walinzi wanaolipwa na serikali kwa kazi hiyo, tunachojiuliza je huduma hii ya ulinzi imefutwa baada ya Kikwete kuchukua madaraka?
Wewe unapokuja na maneno yako ya dhihaka huo ni ujinga jitahidi kutumia akili
 
Huenda hao hao walinzi ndio mawehamisha tuu ,wamepeleka vitu hivyo sehemu nzuri kuhifadhi
 
Tunachohitaji kujua hii nyumba kulikuwa na walinzi wanaolipwa na serikali kwa kazi hiyo, tunachojiuliza je huduma hii ya ulinzi imefutwa baada ya Kikwete kuchukua madaraka?
Wewe unapokuja na maneno yako ya dhihaka huo ni ujinga jitahidi kutumia akili

Kwanini ilindwe na Serikali na fedha za walipa kodi wakati aliyekuwa mtumishi wa umma ameshakufa?

Kuna Nyerere foundation ndiyo yenye majukumu ya kutunza mambo ya Nyerere na waliorithi hayo majumba ya Nyerere ndio wenye jukumu. Serikali inafanya heshima tu kutoa ulinzi na kutunza mambo ya marehemu kwa kutumia kodi zetu bila ridhaa yetu. Hakuna sheria wala kanuni inayoruhusu hayo, kama unayo sheria ilete hapa, wacha kubwabwaja.

Ulinzi upo na hapakuvamiwa kama habari inavyosema, wameibiana humo-humo ndani (inside job), ndani mule kuna mpaka wagonjwa wa akili, hujui hilo?
 
Sijashabikia hata siku moja kuwa atoke Rais chadema, hilo sahau. Tunaloshabikia chadema ni kuwaponda tu, kwa uzinzi uliokithiri huko, ya kiongozi kupora mke wa mtu, ya kiongozi kumzalisha nje ya ndoa mbunge wake wa viti maalum (Joisi) na kwenda nae kula raha Dubai wakati ana mke na watoto ambao kawaacha nyumbani.

Hutosikia mwana CCM akishabikia eti Rais atatoka chadema. Hizo ni ndoto za alinacha kwa sasa.

Kwa ufupi wewe ni Mwehu!!!!!!
 
Kwa ufupi wewe ni Mwehu!!!!!!

Hiyo ni sifa kubwa sana uliyonipa, nijuavyo pale kwa kina Nyerere wana kaugonjwa ka akili kanachowasumbua baadhi yao na mwanawe wa kwanza Andrew Nyerere aliwahi kukiri humuhumu JF.
 
Last edited by a moderator:
Juz tu kikwete kapata maujiko South kupitia jina la Mwalim Nyerere kumbe hajapathaimin kwa kuweka hata mgambo. si uungwana
 
Wametoa tu stock ya zamani...watapatiwa mpya soon...
 
Why nyumba ya mwalimu badala ya ile ya kikwete na vibaka wengine?
 
Hahahahaha ccm ni noma kama wameiba cm ikulu, wanaiba rasilimal zetu, wamezimaliza zote sasa wanaiba mpaka kwa rais wa kwanza, mbona majanga
 
Back
Top Bottom