Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Si shangai kabisa, kama wezi walifanikiwa kuiba policcm. hakuna pasipowezekana chini ya utawala wa CCM
Check up of your upper faculties neededsuala la wewe kulala na kuacha mlango wazi af uanze kulaumu usalama ni kutokuwatendea haki
Kama kusoma huwezi wewe mburula kwasasbabu ni kipofu hiyo picha unayoisema utaionaje? Pengine vipofu wa kwenu huko magambani wanayo teknolojia inayowawezesha kuona kwani nyie kwa ushirikina si haba!!!