Kilichobaki ni siku moja kusikia Ikulu nako kumevamia!
Kuishi Tanzania ni kuona mengi!
Mi sishangai kama IGP aliibiwa kifimbo, balozi kaibiwa touch screen lkulu ya Zenji kwa nini bibi asiibiwe?
Tuilaani serikali kwa nguvu zote kwa kushindwa kulinda makazi ya kipenzi chetuTuwalaani majambazi kwa nguvu zote.
kuna watu wanafanya hujuma ili serikali ilaumiwe tena wanatumwa na vyama vyao vya siasa
. Cha muhimu hapo ni kubnafsisha kama migodi na mashirika ya uma siunaona maendeleo?. Ss kama wazalendo wameshindwa si wapewe wachina hilo jeshi la polisiHivi hatuwezi kukodisha Rais kama tunavyokodisha KOCHA WA MPIRA?
Walioiba Simu ya Balozi Ikulu ndiyo hao hao waliovamia huko kwa Mwalim.
Katika hali ya kushangaza,nyumba ya baba wa Taifa,mwalimu Nyerere, iliyoko huko Msasani jijini Dar-es-salaam, imevamiwa usiku na inadaiwa vitu kadhaa vimeibiwa vikiwemo TV,Computer na vitu vingine.
CHANZO:Habari Leo.
MY TAKE:
Hivi hii si aibu kwa serikali inayotamba kumuenzi baba wa taifa?
Mkuu ikulu wizi upo si umesikia juzi kuna balozi kapigwa simu akiwa ikulu.
Hata wewe umetumwa kulaumu.Hii si AKILI yako ni Utumwakuna watu wanafanya hujuma ili serikali ilaumiwe tena wanatumwa na vyama vyao vya siasa
Ulinzi ni jukumu la mwenye nyumba, Nyerere alishakufa na waliobaki wanaoishi pale ni raia kama raia mwengine yeyote. Kama tunavyoibiwa na au kujilinda sisi na kina warithi wa Nyerere akina Andrew Nyerere wanatakiwa na wao wajilinde, wasibweteke kungojea bwereree, mpaka lini?
Ulinzi na bajeti anayopewa Maria Nyerere Butiama na Msasani si mdogo na si ndogo.
Butiku ndio alipewa dhamana ya kuisimamia hii familia, tunajuwa baadhi ya wanaoishi pale wana matatizo ya vichwa, kuna uwezekano ni wao wenyewe (inside job) si rahisi mtu kutoka nje akaiba pale.
Mleta mada maana ya "kuvamiwa" unaijuwa?
24 hours..............The King!