Nyumba ya Nyerere Msasani yavamiwa!

Nyumba ya Nyerere Msasani yavamiwa!

Where is kamanda Ganesh when you need him? Sijamuona miezi kadhaa sasa.

Au kasharudi zake Butiama nini?
 
Last edited by a moderator:
Tuwalaani majambazi kwa nguvu zote.

kama balozi kaibiwa simu ikulu mbele ya rais unategemea nini kwa marehemu hayati ambae hata hayupo....sitashangaa nikipita pale mbele ya ile nyumba nikakuta petrol station ya muhindi na kesi iko mahakama kuu mjane ndo kashtakiwa.....ccm ni malaghai ...maizi....tuilaani kwa nguvu zote
 
Ulinzi ni jukumu la mwenye nyumba, Nyerere alishakufa na waliobaki wanaoishi pale ni raia kama raia mwengine yeyote. Kama tunavyoibiwa na au kujilinda sisi na kina warithi wa Nyerere akina Andrew Nyerere wanatakiwa na wao wajilinde, wasibweteke kungojea bwereree, mpaka lini?

Ulinzi na bajeti anayopewa Maria Nyerere Butiama na Msasani si mdogo na si ndogo.

Butiku ndio alipewa dhamana ya kuisimamia hii familia, tunajuwa baadhi ya wanaoishi pale wana matatizo ya vichwa, kuna uwezekano ni wao wenyewe (inside job) si rahisi mtu kutoka nje akaiba pale.

Mleta mada maana ya "kuvamiwa" unaijuwa?
 
Kwani Baba wa taifa alikuwa na Nyumba Msasani?

Ninavyojua alikuwa na nyumba moja tu kijijini kwake Butiama, na ingine alijengewa na JWTZ kama zawadi na alitaka kuikataa, au ndio hiyo iliopo msasani?
 
Mimi nasema Wavamie tu maana huku Uswahilini tunavamiwa kila siku.

Alafu cha ajabu kipi?

Kama Ikulu yenyewe ilivamiwa watu wakaondoka na simu ya Balozi.

Ofisi ya IGP ilivamiwa watu wakaondoka na Laptop na Upanga wa Dhahabu sembuse Kwa mwalimu.

By the way wengi waliwashangaa FBI na CIA walivyokuwa wakiwasachi Mawaziri wa JK, Mulikuwa hamjuhi kuwa wengi wao ni Vibaka.

Au hamjawahi kusikia kuwa Kuna waziri fulani alikuwa Mpiga debe Standa ya Mabasi Dodoma.
 
suala la wewe kulala na kuacha mlango wazi af uanze kulaumu usalama ni kutokuwatendea haki

Huwa ni mara chache sana kukujibu,lakini leo naomba ni kujibu hivi.Uwe kidogo serious na unachokiongea,uhakikishe akili yako inatendea haki ubongo uliopewa na mwenyezi mungu.Hebu fikiria yule Bibi mzee mle ndani angejeruhiwa,au kutendewa chochote cha kinyama ni aibu ya nani?Nchi,vyombo vya ulinzi,rais wewe,mimi au yule?Tendea haki elimu yako.Unaudhi wakati mwingine.Poor you.
 
Mimi nasema Wavamie tu maana huku Uswahilini tunavamiwa kila siku.

Alafu cha ajabu kipi?

Kama Ikulu yenyewe ilivamiwa watu wakaondoka na simu ya Balozi.

Ofisi ya IGP ilivamiwa watu wakaondoka na Laptop na Upanga wa Dhahabu sembuse Kwa mwalimu.

By the way wengi waliwashangaa FBI na CIA walivyokuwa wakiwasachi Mawaziri wa JK, Mulikuwa hamjuhi kuwa wengi wao ni Vibaka.

Au hamjawahi kusikia kuwa Kuna waziri fulani alikuwa Mpiga debe Standa ya Mabasi Dodoma.

Kaka Kibanga mbona umejishusha hivyo?Haijalishi huyu mama anayeishi humo ndani ni nani na hasa kwa status yake?Sawa kuna wanyonge,maskini wanaovamiwa lakini hebu iangalie hii kwa sura ya pili,angejeruhiwa huyu mama au kutendewa ukatili wa aina yoyote ni aibu ya nani?Please tendea haki elimu,akili na ubongo wako kw aleo haujautendea haki.Samahani kwa kukwambia haya.
 
wewe ukilala funga mlango wako vizuri kama kuna mhuni atakuingilia. Si kila jambo ni kulaumu serikali ht mtu akijisaidia bila kuchamba mtasema serikali

wewe kwa pumba unaongoza,ina maana pale kwa mwalimu hakuna walinzi?sasa unataka nani alaumiwe kama sio serilali,pale huwa kuna askari 24/7 walikuwa wapi ?
 
mimi nasema wavamie tu maana huku uswahilini tunavamiwa kila siku.

Alafu cha ajabu kipi?

Kama ikulu yenyewe ilivamiwa watu wakaondoka na simu ya balozi.

Ofisi ya igp ilivamiwa watu wakaondoka na laptop na upanga wa dhahabu sembuse kwa mwalimu.

By the way wengi waliwashangaa fbi na cia walivyokuwa wakiwasachi mawaziri wa jk, mulikuwa hamjuhi kuwa wengi wao ni vibaka.

Au hamjawahi kusikia kuwa kuna waziri fulani alikuwa mpiga debe standa ya mabasi dodoma.

good lesson !!
 
Back
Top Bottom