Silasuga mahinyila
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 209
- 116
Roma: Ikulu Imejaa Vibaka Vigogo Wanafyonza Kwa ATM
kuna watu wanafanya hujuma ili serikali ilaumiwe tena wanatumwa na vyama vyao vya siasa
Mkuu ikulu wizi upo si umesikia juzi kuna balozi kapigwa simu akiwa ikulu.
Naona labda kuna ulinzi wa "kichina" tu pale!
kwani hakuna ulinzi wa police pale!
Hapo ninachomanisha ni siku tutasikia milango ya Ikulu imevunjwa na vitu kadha vimeibiwa.
na fensi kubwa tu
![]()
nyumba kama hii haiwezi kosa ulinzi...
![]()
![]()
na fensi kubwa tu
![]()
akili iko 2015, watu wanafikiria jinsi ya kulinda possessions zao baada ya hapo.Usalama wapo wapi? Hii ni laana sasa!
Katika hali ya kushangaza,nyumba ya baba wa Taifa,mwalimu Nyerere, iliyoko huko Msasani jijini Dar-es-salaam, imevamiwa usiku na inadaiwa vitu kadhaa vimeibiwa vikiwemo TV,Computer na vitu vingine.
CHANZO:Habari Leo.
MY TAKE:
Hivi hii si aibu kwa serikali inayotamba kumuenzi baba wa taifa?Last edited by Salary Slip; Today at 08:36.
watakuwa ni watu wa kundi la EL. au MEMBE.who knows!
Only in Tanzania... IGP anaibiwa, balozi anawakilisha nchi yake anaibiwa simu lkulu, sasa nyumbani kwa Nyerere father of nation.
Who cares?