Kwanini ilindwe na Serikali na fedha za walipa kodi wakati aliyekuwa mtumishi wa umma ameshakufa?
Kuna Nyerere foundation ndiyo yenye majukumu ya kutunza mambo ya Nyerere na waliorithi hayo majumba ya Nyerere ndio wenye jukumu. Serikali inafanya heshima tu kutoa ulinzi na kutunza mambo ya marehemu kwa kutumia kodi zetu bila ridhaa yetu. Hakuna sheria wala kanuni inayoruhusu hayo, kama unayo sheria ilete hapa, wacha kubwabwaja.
Ulinzi upo na hapakuvamiwa kama habari inavyosema, wameibiana humo-humo ndani (inside job), ndani mule kuna mpaka wagonjwa wa akili, hujui hilo?
Sijashabikia hata siku moja kuwa atoke Rais chadema, hilo sahau. Tunaloshabikia chadema ni kuwaponda tu, kwa uzinzi uliokithiri huko, ya kiongozi kupora mke wa mtu, ya kiongozi kumzalisha nje ya ndoa mbunge wake wa viti maalum (Joisi) na kwenda nae kula raha Dubai wakati ana mke na watoto ambao kawaacha nyumbani.
Hutosikia mwana CCM akishabikia eti Rais atatoka chadema. Hizo ni ndoto za alinacha kwa sasa.
wewe ukilala funga mlango wako vizuri kama kuna mhuni atakuingilia. Si kila jambo ni kulaumu serikali ht mtu akijisaidia bila kuchamba mtasema serikali
Duh!!Ama kweli kikwete aliposema urais ni mambo binafsi hakukosea,wizi mpaka kwa baba wa taifa??lol
Mpaka aondoke madarakani tutaibiwa mpaka korodani zote tukiwa tumelala!!!kha!!
Katika hali ya kushangaza,nyumba ya baba wa Taifa,mwalimu Nyerere, iliyoko huko Msasani jijini Dar-es-salaam, imevamiwa usiku na inadaiwa vitu kadhaa vimeibiwa vikiwemo TV,Computer na vitu vingine.
CHANZO:Habari Leo.
MY TAKE:
Hivi hii si aibu kwa serikali inayotamba kumuenzi baba wa taifa?
Kwanini ilindwe na Serikali na fedha za walipa kodi wakati aliyekuwa mtumishi wa umma ameshakufa?
Kuna Nyerere foundation ndiyo yenye majukumu ya kutunza mambo ya Nyerere na waliorithi hayo majumba ya Nyerere ndio wenye jukumu. Serikali inafanya heshima tu kutoa ulinzi na kutunza mambo ya marehemu kwa kutumia kodi zetu bila ridhaa yetu. Hakuna sheria wala kanuni inayoruhusu hayo, kama unayo sheria ilete hapa, wacha kubwabwaja.
Ulinzi upo na hapakuvamiwa kama habari inavyosema, wameibiana humo-humo ndani (inside job), ndani mule kuna mpaka wagonjwa wa akili, hujui hilo?
WEE KICHENCHED SEMA HIVI, SWALA LA ASKARI KULALA NA KUACHA LINDO LIIBIWE NI UZEMBE UNAOAKIZI JESHI LA POLISI.suala la wewe kulala na kuacha mlango wazi af uanze kulaumu usalama ni kutokuwatendea haki
Hivi hao CCM wanaokutumia nao wanasoma utumbo huo? Unajua nini kuhusu stahili za maraisi wastaafu na familia zao? Jamani saa nyingine bora kujikalia kimya. Kwani watu kama wewe Iweero, MSALANI msipochangia humu hamuwezi kuishi? Pumba zenu zinachosha na kukinaisha.
Ukienda kwenye swala leo ukatubu kwa kusema uongo!
Nyie maboi wa mkweree mna taabu sana; yaani hujui kuwa mjane wa rais hutunzwa na serikali mpaka mwisho wa uhai wake ? Kwanini mama Maria atunzwe na Nyerere foundation wakati sheria kuhusu viongozi wastaafu iko wazi kuhusu kutunzwa kwao na wenzi wao? Chuki yenu binafsi kwa Nyerere pamoja na huyo mkweree wenu ndio inawapa hicho kijeba cha moyo.
only in tanzania... Igp anaibiwa, balozi anawakilisha nchi yake anaibiwa simu lkulu, sasa nyumbani kwa nyerere father of nation.
Who cares?
hivi hatuwezi kukodisha rais kama tunavyokodisha kocha wa mpira?
wewe ukilala funga mlango wako vizuri kama kuna mhuni atakuingilia. Si kila jambo ni kulaumu serikali ht mtu akijisaidia bila kuchamba mtasema serikali
Mjane wa Rais anakaa Mwitongo si Msasani, huko ndio officialy kwake na hata wageni na kumbukumbu zote za Kiserikali na kitaifa hufanyiwa huko si msasani. Msasani wapo warithi wake na hawana shida yoyote. Nyerere Foundation ipo na ina mihela kedekede, muulize Butiku anafanya nini na yeye ndiye mwenye dhamana ya kuitunza familia ya Nyerere na yeye ndie msimamizi wa mirathi za Nyerere, maana kuna watoto wengine wa Nyerere pale ni wagonjwa wa akili na hawafai kabisa kusimamia mali alizowacha baba yao.
Kwani pale ana kaa nani siku hizi? Ulinzi ni kwa mtu sio nyumba. Kuna kaa nani pale wa kulindwa na serikali?Tuwalaani majambazi kwa nguvu zote.
Andrew sawa ni mgonjwa na mbunge wetu wa bunge la Afrika Mashariki kupitia chama chenu cha magamba nae mgonjwa hafai kusimamia mali alizoacha baba yao ambazo ni nyingi tu?
Wangekuwa wanaweza kusimamia kwanini Butiku asimamie? Kusoma huwezi, hata picha huoni?