abdallah msang
New Member
- Sep 14, 2017
- 2
- 1
Pole sana kiongoz wangu
Ni WATU WASIOJULIKANA.......!!!Hawa jamaa ni very dangerous!Kama Watz hatutawang'amua na kuwashkisha adabu watasumbua sana.......!!!Albadir
Ni WATU WASIOJULIKANA.......!!!Hawa jamaa ni very dangerous!Kama Watz hatutawang'amua na kuwashkisha adabu watasumbua sana.......!!!Albadir
Halbadiri inachukua siku sabaalbadili inafanya kazi
..baba'ako anayo?Mbona Haiendani Na Hadhi Yake?
Umewaza kama mimiMbona Haiendani Na Hadhi Yake?
Hatari sana hii!!
Kile "kisomo cha jana" safari hii kitasingiziwa mengi kuliko tunavyomsingizia shetani.
Mbona Haiendani Na Hadhi Yake?
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana.
View attachment 589599 View attachment 589600 View attachment 589601
Hahahaha eti alchangewatz mna mambo.Majibu ya awali ya alchange