witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
No kwa bata alilozoea ndogo sanaMbona nyingi hyo kwa mtu asiye na kazi
No kwa bata alilozoea ndogo sanaMbona nyingi hyo kwa mtu asiye na kazi
Sasa huna elimu, huna kazi unataka makubwa, na kipindi mzee Yuko hai yeye alibweteka akiamini kwenye mirathi fake ndio itamtajirishqNo kwa bata alilozoea ndogo sana
No kwa bata alilozoea ndogo sana
Hv ada ni kiasi gani hapo international school of Tanganyika?soma vizuri ni usd 2000= 4,600,000/TZS hiyo usd 2000 ni hela ya matumizi ya yumbani kula, wafanyakazi , na vitu vingine
kiatu tu anavaa cha million 40 Hiyo usd 2000 ndio akalishe familia yangu halafu familia yake watoto , dada yake , na Mashoga zake watakula nini kwa taarifa yako watoto wake wanasoma same school with my child (IST )mimi sio maskini mwenzio nimekuacha mbali sana
Kwani watu wa kigoma wanaakili? zaidi ya unafk na ushirikina, ndo maana weusi kama pua za mbwa then wabayaaa, wafupiii na hawapendi kuogaHivi alikwamaga wapi kkyin kujenga nyumba kwa jina lake aisee, matokeo anateseka kijinga
Nadhani ushirikina hupofusha akili inakuwa haifanyi kazi, ukute ndio uligeuka ukawa maradhi ya kumuondoa mzee, ningekuwa Mimi nimepata hyo fursa lazima ningejenga mjengo kwa jina langu na watu mijengo yao na biashara yangu endelevu, sasa mrembo kylin akawa amelala anaishi nyumba ya mke wa kwanzaKwani watu wa kigoma wanaakili? zaidi ya unafk na ushirikina, ndo maana weusi kama pua za mbwa then wabayaaa, wafupiii na hawapendi kuoga
Hv ada ni kiasi gani hapo international school of Tanganyika?
Nadhani ushirikina hupofusha akili inakuwa haifanyi kazi, ukute ndio uligeuka ukawa maradhi ya kumuondoa mzee, ningekuwa Mimi nimepata hyo fursa lazima ningejenga mjengo kwa jina langu na watu mijengo yao na biashara yangu endelevu, sasa mrembo kylin akawa amelala anaishi nyumba ya mke wa kwanza
COVID imemzuia 😀😀😀😀 lakini ana holiday package kutoka IPP yeye na watoto business class twice a year bila MSululu wa house girls Ni yeye na twinsHivi tangia Mzee afariki Jacky ameshawahi kupanda ndege akaenda hata Kenya hapo??
Mbona watu wanashindwa kukubali simple and plain truth like this? Ajabu!Aliolewa, kama mke nadhani ana haki ya kutumia mali za mumewe, that’s a law ya katiba na nature.
Mwanaume kaumbwa kumtunza na kumlisha mwanamke, hiyo ni kawaida binamu hajavunja sheria
Sasa jamani kuolewa ndio uchukue kila kitu , bora ungekua mke wa kwanza mchepuko ulielazimisha ndoa kwa Sababu ya urithiMbona watu wanashindwa kukubali simple and plain truth like this? Ajabu!
Mkuu kwanza eneo lenyewe ni karibu na mjini, pili mijengo iliopo eneo hilo si ya mchezo utadhani upo mitaa ya Hawaii, tatizo ni huo mkondo wa mto.Kwanini tycoon late Mengi akajenga hapo?
Si kuna mirathi jamani? Hawezi kujiamulia.Sasa jamani kuolewa ndio uchukue kila kitu , bora ungekua mke wa kwanza mchepuko ulielazimisha ndoa kwa Sababu ya urithi
sisi wengi na wale da Haki tunaomba apate kile anachostaili kama mke lakini sio kama anavyotaka yeye achukue kile kitu hapana
Hapo ndio alichemka aisee angemuacha tu huyo maza na huyo mzee waendelee kuishi sasa akiloga waliobaki na wao Kama wameshajifanyia tambiko la kichagga klyin anafikiria atafua dafu kwa mchagga kweli, duh awe makini kwa kweli maana yasije mrudi akatangulia yeye sasa vtu aviachealilusha maskadi double double kwa yule mama Mercy na mzee , yule MAma kweli kyln akashinda akafariki akabaki mzee Mengi amepooza mwili mzima anasubili na yeye Bomu lake lilipuke
kylin tayali alikua ana will fake alitegemea akiwaondoa wote wawili kwa mpigi Basi atakua mwanamke tajiri Africa
waliobaki wasilale mwenzao anaangaika kwa waganga awamalize ili case iwe easy , wapambane kivyao kujiweka sawa
Nyumba ziko masaki nazo mali ya ipp,labda yeye akakae nyumbani kwaoJacky ameshazoea mafuriko huyo tangu yule mzee yupo walifurikwa hivyo hivyo anatakiwa kuhama aende kwenye nyumba nyingine yule mzee hawezi kuwa ameacha nyumba hiyo hiyo inayogeuka bwawa la samaki nyakati za mvua. Pole sana kwake ajiongeze tu ili ajiepushe kuchezea tope Kama vipi aje buza nimpe kaplot
Hiyo nyumba alinunua kwa azim akaibadilisha kua mansionHawana tofauti na waliyojenga mabondeni
Kwanza upande ule kwenye mkondo wa maji mtu wa kwanza kujenga alikuwa Azim dewji,na kisheria sehemu zote zile hazikutakiwa kujengwa wao wametumia nguvu ya pesa tu
Ova
Mali ya ipp kwahiyo insuarance inalipwa iipp sio yeyeIt might have been staged , ili alipwe na insurance ndio maana amewahi social media kutafuta huruma
Raisi tu wanaweza kutoboa somewhere Maji yaingie. Then alipwe na hivi kafulia ndio kabisa anapigia hesabu hela ya insurance