Mimi nimejibu jinsi ilivyo hata gari yako ukiwa umekata bima kwa jina la kampuni,ikipata ajali watalipa kampuni yao sio wewe mwenye gari ndio bima walivyoNa Lynn Ni muke halali wa mwenye IPP so usimuweke pemben
ningekuwa Mimi nimepata hyo fursa lazima ningejenga mjengo kwa jina langu na watu mijengo yao na biashara yangu endelevu,
Mimi nimejibu jinsi ilivyo hata gari yako ukiwa umekata bima kwa jina la kampuni,ikipata ajali watalipa kampuni yao sio wewe mwenye gari ndio bima walivyo
Kama marehemu alimpa hisa kisheria sawa atapata mgao wakeNimekuelewa binamu , ila mwenye kampuni c ndo k-Lynn lakin , muke ya tajir, Piga kelele kwa bosslady akee
Kama marehemu alimpa hisa kisheria sawa atapata mgao wake
Binamu kesi iko mahakamani ngoja tuone fainaliAsimpe kivipi wakat ni mke wake na alizaa nae? Mbona watu siwaelewi Jaman , klyn is the future millionaire I’m telling you , mtoto wa watu alibahatika kwa kweli , kati ya watu wachache ulimwengun waliokota embe dodo klyn nae yumo
Mbona unajitesa???
Tuoneshe ulivyomlipia mwanao mwaka huu hapo IST
Nimekuelewa binamu , ila mwenye kampuni c ndo k-Lynn lakin , muke ya tajir, Piga kelele kwa bosslady akee
Utasemaje kama alimpa wakat K-Lynn ni mke halali wa marehem ? Mbona wivu jamen
Basi Sawa ni mke halali, Basi subili aje kua mwenyeketi mtendaji wa makampuni ya IPP Case ikiisha
Halafu kwa Sheria za wachaga mtoto wa mwisho wa kiume ndo mrithi wa Mali , so jacky ako kwenye Nafasi nzur , ashukru Mungu alizaa vidume kwa kweli
Kwa kichaga ndoa ni moja tu mtoto wa mwisho ni Abdiel for your information , na ndio maana pale Machame walipozikwa wazazi ni nyumbani kwa uncle Benjamin Mengi na Abdiel sio kwa watoto wa kyln
kyln na wanawe walijengewe mbali huko sio kwenye shamba la ukoo
Kwa kichaga ndoa ni moja tu mtoto wa mwisho ni Abdiel for your information , na ndio maana pale Machame walipozikwa wazazi ni nyumbani kwa uncle Benjamin Mengi na Abdiel sio kwa watoto wa kyln
kyln na wanawe walijengewe mbali huko sio kwenye shamba la ukoo
Sio kwa kichaga mama yangu ndio mAana jackie amejengewa Boma lake kule kule Machame kwa sababu hatambuliki na wazee wa kimila yeye ni mke wa kimjini mjiniMengi ana watoto wanne, wawil Mapacha wa kiume, sasa unatak kusema wale twins sio wa mengi?
Kuna shoga angu had simiral case kama ya jacky na alishinda akapatiwa haki ya watoto wake
Unatak kusema wale twins hawana haki ya kurith mali za baba yao? Like for real binamu?, ingekua mengi alimkuta jacky na hao watoto Sawa ila ni watoto wa mifupa ya mengi , watoto wa millionaire wana haki na mali za baba yao binamu yabgu kipenz
Kwa nini wasirithi? Watarithi obviously Wanachostaili sio kama alivyokua anataka mama yao kua yeye ndio apewe kila kitu
Na Mzee anajua Mila za kichaga ndio Maana akajenga kule karibu na mlima Kilimanjaro kwa ajili ya Klyn na wanae
That's why I said ningekuwa mie, wahenga walinena upele humwota asiye na kucha,,ningekuwa mimi , '' lakini siyo wewe sasa, kweli life is not fair, kama tu ungekuwa wewe, yaani yaani yani we acha tu, ninge, ninge mhh yani ninge, ninge, ...