Nyumba ya gharama nafuu - Small , simple but beautiful

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
292455_2023742587376_1058331074_31809291_6172102_n.jpg


Ramani za ujenzi wa nyumba husumbua vichwa sana vichwa wengi wanapohaha kutafuta na kubuni ramani iweje. Na pengine tunaangukia kuchagua ramani ambayo umalizaji wa paa lake hutugharibu sana pesa. Nyumba kama hii ni very simple, low cost lakini ina mvuto.

Ramani hii inatoa fursa ya kuongeza vyumba kirahisi maana alternative ya kuendeleza upanuzi wa nyumba yako ni wazi na rahisi. Na hata mpango wa ujenzi kwa awamu una mshiko sana hapa.

Tunaweza kukwepa gharama kubwa za ujenzi wa nyumba kwa kutumia ramani ya mjengo wa kawaida ambao hautatugharamu sana pesa ila tu umaliziaji wake tu ukaweza kuwavunja shingo wapita njia wakaahau kama kofia walizovaa zimedondoka baada ya kufika mbali toka kwenye nyumba yako na kupata wageni wasiotarajiwa kuiba ramani na umaliziaji wako.
 
Lostroh Sharp Land42_small.jpg


Hii nyumba ni simple na ina ghorofa (three floors). Haivutii macho, mwenyewe alitaka tu sifa ya kwamba ana ghorofa, na pengine angejenga nyumba ndogo ya kawaida na simple umaliziaji wake ungekamilika na kuleta mvuto.
 
Mkuu, umetoa points nzuri sana Big up, but tunaomba utuwekee na ramani yake kabisaa make wengine tunausongo wa kujenga tena kwa gharama nafuu.
asante.
 
Lostroh Sharp Land42_small.jpg


Hii nyumba ni simple na ina ghorofa (three floors). Haivutii macho, mwenyewe alitaka tu sifa ya kwamba ana ghorofa, na pengine angejenga nyumba ndogo ya kawaida na simple umaliziaji wake ungekamilika na kuleta mvuto.

Haivutii macho kwa mujibu wa nani?

Kwanini umtake ajenge ndogo, ya kawaida na kumpangia "ili imalizike. haraka na kuvutia" wakati hujui mipango yake ikoje?

Mnashangaza sana kutuwekea comparison ya mvuto baina ya a simulated complete house and a real unfinished one
 
Daah nimeipenda sana hii ramani ,ila*unavo sema kuwa*gharama yake itakuwa ndogo,unamaanisha ni kiasi gani??????
kwa sababu suala la gharama ndogo au kubwa huwa linategemea kutoka mtu mmoja hadi mwingine. labda niambie gharam ndogo ni kiasi gani ????kwako Mkuu*.
 
Daah nimeipenda sana hii ramani ,ila*unavo sema kuwa*gharama yake itakuwa ndogo,unamaanisha ni kiasi gani??????
kwa sababu suala la gharama ndogo au kubwa huwa linategemea kutoka mtu mmoja hadi mwingine. labda niambie gharam ndogo ni kiasi gani ????kwako Mkuu*.

Kwangu mimi naona nyumba hii ni ya gharama nafuu kuanzia paa lake ambalo ni la moja kwa moja na halina complications. Halafu ndogo kwa kuanzia maisha, na nipatapo nafasi naweza kuiongeza nipendavyo. Hii inatoa moyo kujiamini kufanya.

Naachana na mambo ya vigae uwanjani mimi naona tu nyumba yenyewe licha ya mapambizo mengine naona poa sana.
 
Thanks mkuu!! Nipo katika hatua ya maandalizi ya kuanza hii shughuli. Nimeipenda sana!
 
Ramani please
na kama upo kibiashara sema tu bei au jinsi ya kuipata.
Angalizo kama umechukua toka kwenye site za wenzetu then huo unafuu sidhani kama utakuwepo
 
Nenda kwenye website inaitwa MOLADI BUILDING COMMUNITIES utapata majibu yote. Kwa kweli ni rahisi mno na inatia moyo.
 
Haivutii macho kwa mujibu wa nani?

Kwanini umtake ajenge ndogo, ya kawaida na kumpangia "ili imalizike. haraka na kuvutia" wakati hujui mipango yake ikoje?

Mnashangaza sana kutuwekea comparison ya mvuto baina ya a simulated complete house and a real unfinished one
Thanks a million.... Some marketing approaches really freak me out.
 
Haivutii macho kwa mujibu wa nani?

Kwanini umtake ajenge ndogo, ya kawaida na kumpangia "ili imalizike. haraka na kuvutia" wakati hujui mipango yake ikoje?

Mnashangaza sana kutuwekea comparison ya mvuto baina ya a simulated complete house and a real unfinished one

Kaka mbona umekuwa mkali hivyo? CS ametoa tu mawazo yake, kama ameona haivutii basi ni kwa mujibu wake. Na kama ni nyumba yako, nakupa ushauri wa bure: Kweli inavutia, lkn inawavutia njiwa na kunguru kufanya maskani hapo.
 
Lostroh Sharp Land42_small.jpg


Hii nyumba ni simple na ina ghorofa (three floors). Haivutii macho, mwenyewe alitaka tu sifa ya kwamba ana ghorofa, na pengine angejenga nyumba ndogo ya kawaida na simple umaliziaji wake ungekamilika na kuleta mvuto.

ni plan nzuri sana kama una kiwanja kidogo
 
Sio rahisi kiasi hicho kwani ramani hutegemea mahitaji yako kama jiko, sebure, vyoo, master,vyumba, study room nk na uhusiano(location) kati ya kimoja na kingine.
 
Sio rahisi kiasi hicho kwani ramani hutegemea mahitaji yako kama jiko, sebure, vyoo, master,vyumba, study room nk na uhusiano(location) kati ya kimoja na kingine.

Thubutuuuu! Inategemea una ngapi mfukoni. Yale yale ya balanced diet
 
Hii nyumba nayo siyo ECONOMICAL mkuu.

Sasa hiyo minguzo ya pembeni ni ya nini? Mapambo? Khaaa!! Ni kupoteza fedha bure tu maana hapo hakuna any load acting above it. Kuta hizo ndefu nyeupe na zenyewe ni kupoteza hela tu.

Kama zilikuwa na maana ya kuwa ni Pambo, basi ingelikuwa heri zijengwe katika mpango kwamba, siku moja mtu waweza kufumua na kuweka gorofa moja juu yake. Ila nikiangalia sioni uwezekano wa kuweka Beams na mwisho floors.

Ingelikuwa hata busara zaidi kuweka juu yake TAA ambazo zingelipendeza zaidi na kufanya nguzo ziwe na kazi fulani ya muhimu.

Hilo ghorofa jingine, naungana na wewe kuwa ni Kinyaa. Utafikiri Gypsy wanavyojenga kwao Rumunia kwa hela za wizi na ujambazi wanaoufanya dunia nzima ukiachia hela za UMATONYA. Hopeless kabisa hilo ghorofa na ni mfano LIVE wa limbukeni aliyepata hela na kuanza kutimiza ndoto zake za ghorofa wakati hata shule hakuenda.

Ukiwa na hela, tafadhali watafute wataalam wakutengenezee kitu kizuri na cha maana.
292455_2023742587376_1058331074_31809291_6172102_n.jpg


Ramani za ujenzi wa nyumba husumbua vichwa sana vichwa wengi wanapohaha kutafuta na kubuni ramani iweje. Na pengine tunaangukia kuchagua ramani ambayo umalizaji wa paa lake hutugharibu sana pesa. Nyumba kama hii ni very simple, low cost lakini ina mvuto.

Ramani hii inatoa fursa ya kuongeza vyumba kirahisi maana alternative ya kuendeleza upanuzi wa nyumba yako ni wazi na rahisi. Na hata mpango wa ujenzi kwa awamu una mshiko sana hapa.

Tunaweza kukwepa gharama kubwa za ujenzi wa nyumba kwa kutumia ramani ya mjengo wa kawaida ambao hautatugharamu sana pesa ila tu umaliziaji wake tu ukaweza kuwavunja shingo wapita njia wakaahau kama kofia walizovaa zimedondoka baada ya kufika mbali toka kwenye nyumba yako na kupata wageni wasiotarajiwa kuiba ramani na umaliziaji wako.
 
unasema gharama nafuu tupe gharama zake ni tsh ngapi hadi ikamilike na ina vyumba vingapi
 
Haivutii macho kwa mujibu wa nani?

Kwanini umtake ajenge ndogo, ya kawaida na kumpangia "ili imalizike. haraka na kuvutia" wakati hujui mipango yake ikoje?

Mnashangaza sana kutuwekea comparison ya mvuto baina ya a simulated complete house and a real unfinished one

Mwalimu si unajua kila mtu ana taste zake?
 
Hii nyumba nayo siyo ECONOMICAL mkuu.

Sasa hiyo minguzo ya pembeni ni ya nini? Mapambo? Khaaa!! Ni kupoteza fedha bure tu maana hapo hakuna any load acting above it. Kuta hizo ndefu nyeupe na zenyewe ni kupoteza hela tu.

Kama zilikuwa na maana ya kuwa ni Pambo, basi ingelikuwa heri zijengwe katika mpango kwamba, siku moja mtu waweza kufumua na kuweka gorofa moja juu yake. Ila nikiangalia sioni uwezekano wa kuweka Beams na mwisho floors.

Ingelikuwa hata busara zaidi kuweka juu yake TAA ambazo zingelipendeza zaidi na kufanya nguzo ziwe na kazi fulani ya muhimu.

Hilo ghorofa jingine, naungana na wewe kuwa ni Kinyaa. Utafikiri Gypsy wanavyojenga kwao Rumunia kwa hela za wizi na ujambazi wanaoufanya dunia nzima ukiachia hela za UMATONYA. Hopeless kabisa hilo ghorofa na ni mfano LIVE wa limbukeni aliyepata hela na kuanza kutimiza ndoto zake za ghorofa wakati hata shule hakuenda.

Ukiwa na hela, tafadhali watafute wataalam wakutengenezee kitu kizuri na cha maana.

Hiyo nyumba ni master plan, hulazimiki kufanya hayo manguzo ambayo ni decoration tu, unaweza kusmamia hapo kujenga plan inayoendana na unavyotaka.
 
Back
Top Bottom