King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,604
Kajumba kazuri
unasema gharama nafuu tupe gharama zake ni tsh ngapi hadi ikamilike na ina vyumba vingapi
Mwalimu si unajua kila mtu ana taste zake?
Ramani za ujenzi wa nyumba husumbua vichwa sana vichwa wengi wanapohaha kutafuta na kubuni ramani iweje. Na pengine tunaangukia kuchagua ramani ambayo umalizaji wa paa lake hutugharibu sana pesa. Nyumba kama hii ni very simple, low cost lakini ina mvuto.
Ramani hii inatoa fursa ya kuongeza vyumba kirahisi maana alternative ya kuendeleza upanuzi wa nyumba yako ni wazi na rahisi. Na hata mpango wa ujenzi kwa awamu una mshiko sana hapa.
Tunaweza kukwepa gharama kubwa za ujenzi wa nyumba kwa kutumia ramani ya mjengo wa kawaida ambao hautatugharamu sana pesa ila tu umaliziaji wake tu ukaweza kuwavunja shingo wapita njia wakaahau kama kofia walizovaa zimedondoka baada ya kufika mbali toka kwenye nyumba yako na kupata wageni wasiotarajiwa kuiba ramani na umaliziaji wako.
Kitu kimoja kinachoongeza gharama za ujenzi Tanzania ni utamaduni uliozoeleka na wa kulazimishwa kisheria kujenga jumba lenye uimara usio na lazima, ma nondo na ma zege na matofali mazito mazito na ma kokoto yasiyo lazima. Nchi za wenzetu wanajenga nyumba za mbao na hazibomoki, kwa nini?
Candid Scope bana umenichekesha sana, yani nyumba rahisi rahisi wewe umemjengea babaako tena kijijini, lakini yako ya Bunju sio ya matofali ya kuchoma ya kufyatulia hapo hapo saiti! Sitaki kabisa kukaa kijijini usawa huu, ngoja nizeeke...Nashauri ujenzi ambao kwa sasasa tunaweza kuepa gharama ni kuta za ndani ambazo si lazima kutumia tofaili au blocks, na kazi hiyo ya kugawa vyumba inaweza fanyika wakati wo wote kadiri ya mahitaji, kwani cha msingi ni kuta za nje na paa lake.
Candid, kweli ni nyumba nzuri, kwa macho yangu, naiona kama ni ya single bedrom, sitiing jiko choo na bafu. Japo unaiita ya gharama nafuu, ili ipendeze, hicho kigae tuu na hizo poles zinatoboa funika bovu. Hiyo nyumba hivyo ilivyo mpaka hizo pavements blocks zake na hicho ki garden, its not less than 15M!. Jee hiyo ndio gharama nafuu?. Wale ndugu zetu pale Mabwe Pande, wataweza?.
Ramani za ujenzi wa nyumba husumbua vichwa sana vichwa wengi wanapohaha kutafuta na kubuni ramani iweje. Na pengine tunaangukia kuchagua ramani ambayo umalizaji wa paa lake hutugharibu sana pesa. Nyumba kama hii ni very simple, low cost lakini ina mvuto.
Ramani hii inatoa fursa ya kuongeza vyumba kirahisi maana alternative ya kuendeleza upanuzi wa nyumba yako ni wazi na rahisi. Na hata mpango wa ujenzi kwa awamu una mshiko sana hapa.
Tunaweza kukwepa gharama kubwa za ujenzi wa nyumba kwa kutumia ramani ya mjengo wa kawaida ambao hautatugharamu sana pesa ila tu umaliziaji wake tu ukaweza kuwavunja shingo wapita njia wakaahau kama kofia walizovaa zimedondoka baada ya kufika mbali toka kwenye nyumba yako na kupata wageni wasiotarajiwa kuiba ramani na umaliziaji wako.
Candid Scope bana umenichekesha sana, yani nyumba rahisi rahisi wewe umemjengea babaako tena kijijini, lakini yako ya Bunju sio ya matofali ya kuchoma ya kufyatulia hapo hapo saiti! Sitaki kabisa kukaa kijijini usawa huu, ngoja nizeeke...
Anyhow, kuta za ndani that is a no brainer, hakuna haja ya tofali la saruji, absolutely, lakini pia wenzetu mbona hata kuta za nje wanajenga na sheet rock na mbao na hazibomoki? For the life of me sielewi kabisa kwa kweli.
Cheki hawa mafundi seremala wanajenga ukuta wa nje, notice hiyo foundation, kibongo bongo lingemwagwa jamvi la nchi 6, la kokoto nyeusi, na nondo za milimita 16... hahahahahah
Candid, kweli ni nyumba nzuri, kwa macho yangu, naiona kama ni ya single bedrom, sitiing jiko choo na bafu. Japo unaiita ya gharama nafuu, ili ipendeze, hicho kigae tuu na hizo poles zinatoboa funika bovu. Hiyo nyumba hivyo ilivyo mpaka hizo pavements blocks zake na hicho ki garden, its not less than 15M!. Jee hiyo ndio gharama nafuu?. Wale ndugu zetu pale Mabwe Pande, wataweza?.
Kuna wale wahind pale Millenium Bussness Park, wameleta pre-fab nyumba za gharama nafuu, nilipouliza gharama halisi ya hiyo pre-fab huouse, nikakuta nyumba ya room 3, sitting, dinning na jiko, inakwenda mpaka 30M. Mimi na familia yangu ya watu 10, tunahitaji nyumba ya 4 bedroms, sitting, dinning, jiko, master, store, laundry, study room, home office, etc, bado tutarudi kule kule, kusema ukweli, vitu vizuri ni gharama, huwezi kukwepa, only unaweza tuu kupunguza!,