Nyumba ndogo, we acha tu!


dah, I feel sorry 4 u.lkn ww noma ukaamua kuondoka???? mi ctaki kulea mtt wa mtu akizaa alee tu hukohuko ctaki hata kuckia
 

Bila shaka mkeo ni mchagga!

Anyway,Hongera kwa kubadilika brother........!
 

Waoh, l am so happy for you. Naimani wengine watajifunza kutoka kwako. Hakuna mtu aliyeumbwa monster, siku zote kuna sababu (evil) na upendo, care, understanding and communications ni soln.
 
Hapo sasa! Usikute kesha ukwaa ndio kaamua kutulizana ili amuambikize mkewe

Hahaha, we acha tu! Mi niko fit na majuzi tu tumekwenda kupima afya zetu. Kwani nyie mnasubiri muumwe ndo mkapime? I do it so often!
 
Kwani kwenye hayo mabucha nyama ilikuwa ile ile au tofauti?

Hayo tuyaache kwanza..... Wataelezea wengine ambao kazi yao ni kutafuta umaarufu, na sio wale tunliokuwa tunakimbia shida nyumbani
 
Jamani u have made my morning, nimechekaaaaaaaaaa! Eti ulikuwa unaenda leo segerea, kesho cjui wapi, wenzio wanafuata nyumba ndogo mpaka kiluvya, hahahahha wengine kibaha! Chezeiya mbunyeeeee weye! Ila umenichekeshajeeeeeeeeeee???
 
Jamani u have made my morning, nimechekaaaaaaaaaa! Eti ulikuwa unaenda leo segerea, kesho cjui wapi, wenzio wanafuata nyumba ndogo mpaka kiluvya, hahahahha wengine kibaha! Chezeiya mbunyeeeee weye! Ila umenichekeshajeeeeeeeeeee???

Imagine mimi kimbizana kimbizana ya Segerea, kinondoni, mara Kimara nusura iniletee uendawazimu, Je hao wa Kiluvya na Kibaha au bagamoyo, wengine hadi huko Kisarawe si ndo wamekuwa walemavu wa akili kabisa? Mi nimekoma na wanaume wenzangu nataka sana waisome thread hii. Lengo wazungumze matatizo yao wayamalize. Watu wawili tu wanaweza kumaliza matatizo ya ndani ya ndoa nao ni Mme na Mke basiiii!
 
yani umenifanya tu nicheke..au ulikokimbilia ulikuta yaleyale cha zaidi uliongeza bajeti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…