Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Umeumbuka vibaya,
Unadhani hapa jf ni kama hamnazo kwengine......
Pambana na hali yako kaka...na utapeli wa hivyo ushakua hauna deal...so njoo na version nyingine ya utapeli.

Sent from my SM-A8000 using JamiiForums mobile app
Hii nyumba si yangu, mm nimeweka tangazo tu humu kwahiyo iuzwe au isiuzwe mm sipati wala kupoteza chochote

Sasa unavyoniita tapeli wakati hakuna nilichokutapeli huo ni upumbavu

Ukiulizwa nyumba ina tatizo gani huna la kujibu, huijui nyumba hujaiona ilipo wala hufahamu chochote unaniita mm tapeli, nikikuuliza nimekutapeli nini au nimemtapeli nani huna jibu

Jiheshimu kuwa mstaarabu
 
duuuhhh.. mkuu ni nyumba halali kweli.. mbona unapanick sana
Nimepanik sn kuitwa tapeli wakati sijamtapeli mtu

Hiyo nyumba kama unawasiwasi nayo unaacha kununua sio kukashifu watu
 
YumbayumbaJF-Expert Member

[HASHTAG]#34Jan[/HASHTAG] 6, 2016

Th Name said: ↑

Nyumba 10,000 huko tabata duuuh

Zinazidi mkuu kuanzia tabata tabata reli, aroma, shule hadi baracuda ukiteremka huku chini ni vilio tu
 
We matako umetapeliwa kitu gani?
Kumbe huyu jamaa ni jambazi zoefu,
Eti limenifuata pm, kunipa vitisho na matusi eti kisa nalichana ukweli live hapa jukwaani...
Acha kupenda mtelezo kijana...unapigwa pipe,
Hivi hata huruma huna na binaadamu wenzio...kazi kuendekeza ubinafsi na kujijali wewe na tumbo nako...
Yaani utasubiri saaana Kumkamata mtu na kumuuzia hilo banda la matope mlililolinaksi na sumenti...
Ishadoda hio,
Christmas lazima ikupite Kwa speed kubwa.
Hahahahahahahaha
 
Nyumba yenyewe inamong'oka ka mkate uliopigwa na jua...
Yale Yale ya mfuko wa sumenti tofari mia
 
Kumbe huyu jamaa ni jambazi zoefu,
Eti limenifuata pm, kunipa vitisho na matusi eti kisa nalichana ukweli live hapa jukwaani...
Acha kupenda mtelezo kijana...unapigwa pipe,
Hivi hata huruma huna na binaadamu wenzio...kazi kuendekeza ubinafsi na kujijali wewe na tumbo nako...
Yaani utasubiri saaana Kumkamata mtu na kumuuzia hilo banda la matope mlililolinaksi na sumenti...
Ishadoda hio,
Christmas lazima ikupite Kwa speed kubwa.
Hahahahahahahaha
Bila shaka ww ni shoga muimba taarabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom