Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Mwambie hana pesa.
ni kweli hana pesa analeta porojo tu

Kila mtu yupo makini, mwenye hii nyumba nae ana akili kanunua hapa kajenga nyumba anauza

Pangekuwa kuna utata asiwekeza pesa zake nyingi
 
Msinunue hii nyumba, tabata ni majangaaaa. Narudia tena ni majanga na tusije kulaumiana humu kuna bomoa bomoa na taarifa ni kwamba vipimo vinaonyesha nyumba nyingi zitaenda na maji.
aisee ngoja niangalie hii vita uliyoianzisha itaishaje
 
aisee ngoja niangalie hii vita uliyoianzisha itaishaje
Wala sio vita ni watu tu sio waelewa
Mwisho wake mtu atakayetaka kuja kuiona nyumba atafika eneo la tukio atajiridhisha
Hizi porojo za humu watu wanatumia bando zao tu hamna mnunuzi hapo

Aliye serious kanifata pm anataka kuja kuiona nyumba sio hao wapiga kelele
 
Wala sio vita ni watu tu sio waelewa
Mwisho wake mtu atakayetaka kuja kuiona nyumba atafika eneo la tukio atajiridhisha
Hizi porojo za humu watu wanatumia bando zao tu hamna mnunuzi hapo

Aliye serious kanifata pm anataka kuja kuiona nyumba sio hao wapiga kelele
huwezi pata mteja boya humu, kama unajua hakuna wateja kwanini ulileta tangazo in the first place?? Unayumbayumba tu ndugu dalali.
 
Kwasababu ya maswali ya kipuuzi, imeandikwa nyumba inauzwa mtu anauliza eti na beseni na gari na vyombo?

ishu ikiwa serious alafu mtu akileta upuuzi inakera sn
Ila jitahidi kuwa na lugha nzuri ata kwa adui yako pengine akakufaa siku za usoni!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom