Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Hahaaa hili jamaa jizi asee, matapeli wamekua wengi sana sababu ya vyuma kukaza.
Acha unafki nambie saa ngapi tumechat pm nimekupa namba inayoishia 39?

Sijachat na ww wala sina namba inayoishia 39, ukidanganya hivyo unapata faida gani?
 
Kua mkweli na ujibu swali hili tu.
1 kama hii nyumba hutegemei chochote, mbona umekua mkali ukiambiwa uache utapeli,
Na kwann ipo huku in the first place?
Ungekaa nalo tu banda lako la tope (km hata kweli unalo)
 
Hata kusoma anababaika..
Aliekwambia una namba inayoishia 39,nani!?
Utapeli utakuua nanga wewe!
Mpuuzi mwenzio ndio aliyesema eti kanitafuta kwenye namba inayoishia na 39

Dogo hilo jina la nanga ndio umelisikia juzi unaniita mm nanga kama ww ulivyokuwa unaitwa huko uliposikia? Mm sio nanga wala sijawahi kuwa nanga
 
Sawa nitakuja
Itakuwa vzr, maana humu kila mtu anajifanya mjuaji

Nyumba haipo jirani na barabara, haipo jirani na mto, haipo jirani reli wala chochote

Ipo kwenye mtaa unaoeleweka, na zipo zaidi ya kumi zilizojengwa na kuuzwa na huyu mtu mmoja ukifika nitakuonyesha zote

Naashangaa mtu ananiita tapeli nikimuuliza nimemtapeli nini hana jibu
 
Kupitia : Jf Niombe kuutangazia Umma ninauza kiwanja changu kiko Igombe ,Eneo zuri ni Karibu na barabarani wenye usafiri wao wanaingia bila shida ndiko nakoishi pamepimwa Hivi Karibuni bikoni zimewekwa hati Ndio haijatoka ,wenye fedha wanaweza kuchimba bwawa wakafuga samaki ,kiwanja ni 62/78 hatua za Mtu mzima bei ni mazungumzo mwenye nia aitafute Igombe iko Ilemela Mwanza aulize kwa Alphonce A Kagezi hata ukiuliza hilo la Mwisho hata Mtoto mdago atakufikisha bila shida au piga Simu +255 753 537 7116 au +255 688 787 828 Karibu tufanye biashara sharti la Malipo ni kulipa kwa Akaunti bank tukiwa tumeelewana bei na Malipo lazima yaingizwe na kuthibitishwa
 
Mna bahati huu uzi nimeusoma wakati nikiwa na usingizi Lazima Nyau lingekula Ban humu.
 
Mpuuzi mwenzio ndio aliyesema eti kanitafuta kwenye namba inayoishia na 39

Dogo hilo jina la nanga ndio umelisikia juzi unaniita mm nanga kama ww ulivyokuwa unaitwa huko uliposikia? Mm sio nanga wala sijawahi kuwa nanga
We nanga tu, maana una sifa na vigezo vyote..sasa unakataa nini maana hata alichoandika jamaa hukijui na najua bado hujui ameandika nini,
Rudi shule kajifunze kuelewa kwanza
Nanga mmoja wewe,
 
Hii nyumba si yangu, mm nimeweka tangazo tu humu kwahiyo iuzwe au isiuzwe mm sipati wala kupoteza chochote

Sasa unavyoniita tapeli wakati hakuna nilichokutapeli huo ni upumbavu

Ukiulizwa nyumba ina tatizo gani huna la kujibu, huijui nyumba hujaiona ilipo wala hufahamu chochote unaniita mm tapeli, nikikuuliza nimekutapeli nini au nimemtapeli nani huna jibu

Jiheshimu kuwa mstaarabu
Wewe ustaarabu huna halafu unawafundisha wengine ustaarabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom