Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Ndugu umeniita mm tapeli ukaniita mm jizi na sasa unaniita mm jambazi

Ukiacha hili tangazo la kuuza nyumba ambayo ukiipenda unaweza kuinunua ukiona hujaridhika nayo unaweza ukaacha sijawahi kuwa tapeli, mwizi wala jambazi ila kama ww una uhakika mm ni jambazi au mwizi au tapeli naomba tukutane kesho kituo chochote cha polisi nambie nitakuja

Au kama unaogopa kituoni niambie popote ulipo mm nitakuja alafu unambie wizi wangu ni upi au utapeli wangu ni upi au ujambazi wangu ni upi

Umenichafua vya kutosha naona watu wengine wameibeba kama ilivyo, lazima uthibitishe utapeli wangu ni upi ukishindwa nitajua nitakachokufanya
Naona unaandika bkwa kinyooonge,kama mwema vile....halafu Kwa heshima na taadhia ukamalizia na bonge la kitisho....
Hahahah we ni tapeli tu.
Ushawahi ona wapi mamlaka husika za ardhi wakapima kiwanja Kwa miguu..!?
Eti hati haijatoka,,,,itatoka Kwa nani wakati hata kupima mamlaka husika hazijafika (maana tunafahamu wakifika hawatumii miguu kupima)...
So tunaposema wewe ni tapeli tunakua Tushaona viashiria hivyo...
Umeniahidi utanifanya utakachonifanya...binafsi nakukaribisha Mr Tapeli...
 
Jf jina lingine inaitwa "home of the great thinkers"
Sasa huyu Mr jambazi aka tapeli yawezekana hata maana yake hajui..ndio maana anakuja na ujinga wa nanjilinji.
Asshole
sisi wa nanjilinji siyo wajinga hivyo ila ni vizuri kuwa makini.
 
porojo nimepiga wapi ndugu au una tatizo gani na post yangu?
Nimeitwa tapeli, jambazi, mwizi kisa nimeweka tangazo la kuuza nyumba humu

Nyumba wala si yangu na nimeambiwa na mwenyewe kashapa mteja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom