Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,240
- 845
- Thread starter
- #21
Hii ni biashara sio ya kuleta mzaha, kama mtu huitaji unatulia kimyaKwanini umekasirika sasa?au ni kweli kuna kumeo pande hizo?
Hii ni biashara sio ya kuleta mzaha, kama mtu huitaji unatulia kimyaKwanini umekasirika sasa?au ni kweli kuna kumeo pande hizo?
Kwasababu ya maswali ya kipuuzi, imeandikwa nyumba inauzwa mtu anauliza eti na beseni na gari na vyombo?Mbona una majibu mabovu namna hii?
Hii sio biashara ya mtandaoni kama mnavyouziana viatu unaletewa popote ulipoKwanini umekasirika sasa?au ni kweli kuna kumeo pande hizo?
Hakuna kaburi lolote lililofukuliwa, ni mada mbili tofautiBomoa bomoa,
Baada ya kufukuliwa kwa kaburi,muuzaji kageuka mbogo...hapa ndipo tunasema ".......changanya na zako!"
Hata Mawenzi kona pale kama unaenda Kimanga upande Wa kushoto ni eneo la wazi. Bondeni. Lakini pamejengwa hakuna hata pa kupumulia. Na kwa Dsm ni sehemu nyingi sana. Watu wawe makini.Msinunue hii nyumba, tabata ni majangaaaa. Narudia tena ni majanga na tusije kulaumiana humu kuna bomoa bomoa na taarifa ni kwamba vipimo vinaonyesha nyumba nyingi zitaenda na maji.
Ndio mkuu, tushtuane tusije kuanza kujuta 75M kwa usawa huu ni parefu.Hata Mawenzi kona pale kama unaenda Kimanga upande Wa kushoto ni eneo la wazi. Bondeni. Lakini pamejengwa hakuna hata pa kupumulia. Na kwa Dsm ni sehemu nyingi sana. Watu wawe makini.
hahahaaa watu mko makini! hapa kuna watu wataingizwa kingi
So kumbe ndio zileeee "Jenga uza".Hakuna kaburi lolote lililofukuliwa, ni mada mbili tofauti
Hizi nyumba kila siku zinajengwa na kuuzwa hii sio ya kwanza wala ya mwisho na ni moja tu ndio ilinunuliwa na mtu kutoka jf kwahiyo hampunguzi chochote
mtu mwenye akili timamu huwezi kuandika upuuzi kama huuSo kumbe ndio zileeee "Jenga uza".
Mfuko mmoja wa saruji,tofari mia moja.
Haaaaaaaaaaaaaaaa
Sent from my SM-A8000 using JamiiForums mobile app
Huna hela tulia, inamaana huyu aliyejenga hii nyumba hana akili awekeze hela zake sehemu yenye majanga?Msinunue hii nyumba, tabata ni majangaaaa. Narudia tena ni majanga na tusije kulaumiana humu kuna bomoa bomoa na taarifa ni kwamba vipimo vinaonyesha nyumba nyingi zitaenda na maji.
Hii nyumba haipo mawenziHata Mawenzi kona pale kama unaenda Kimanga upande Wa kushoto ni eneo la wazi. Bondeni. Lakini pamejengwa hakuna hata pa kupumulia. Na kwa Dsm ni sehemu nyingi sana. Watu wawe makini.
Mwambie hana pesa.mtu mwenye akili timamu huwezi kuandika upuuzi kama huu
Usijifanye mjuaji, hii nyumba haina tatizo lolote na zishajengwa nyingi na kuuzaNdio mkuu, tushtuane tusije kuanza kujuta 75M kwa usawa huu ni parefu.
Weka grisi mkuuVyuma vimekazaaaaa
Wanazingua hawa jamaa,Tuliza hasira mkuu mfanya biashara hana hasira
Hv mtu ataingizwaje kingi? Kwamba unatuma hela tigopesa au unafika kuiona nyumba ilipo?hahahaaa watu mko makini! hapa kuna watu wataingizwa kingi