Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Kwasababu ya maswali ya kipuuzi, imeandikwa nyumba inauzwa mtu anauliza eti na beseni na gari na vyombo?

ishu ikiwa serious alafu mtu akileta upuuzi inakera sn
Kijana biashara ni imani, hakuna haja ya kutangaza huna uvumilivu kwenye biashara.
 
Nimejiridhisha baada ya kumtafuta huyu jamaa ukimtafuta anakuchorea ramani hazieleweki, zile ramani za kipigaji. JIHADHARINI NA TAPELI.
 
Nimejiridhisha baada ya kumtafuta huyu jamaa ukimtafuta anakuchorea ramani hazieleweki, zile ramani za kipigaji. JIHADHARINI NA TAPELI.
Wapi umetafuta? Alafu mm sijifichi nambie upo wapi nikufate
 
Chukua M30 kesho Nije tujaze mikataba

Unalipwa cash sio longo longo kama za 900 itapendeza
 
Chukua M30 kesho Nije tujaze mikataba

Unalipwa cash sio longo longo kama za 900 itapendeza
Usiwafatishe wapuuzi wachache, hii nyumba haiuzwi kwa bei hiyo wala haina tatizo lolote
 
Nimejiridhisha baada ya kumtafuta huyu jamaa ukimtafuta anakuchorea ramani hazieleweki, zile ramani za kipigaji. JIHADHARINI NA TAPELI.
Ramani gani nimekuchorea haieleweki? Ukitaka njoo uione nyumba hata kesho na ukitaka namba yangu nakupa

Mm sitegemei hii nyumba iuzwe au isiuzwe sipunguziwi chochote
 
Ramani gani nimekuchorea haieleweki? Ukitaka njoo uione nyumba hata kesho na ukitaka namba yangu nakupa

Mm sitegemei hii nyumba iuzwe au isiuzwe sipunguziwi chochote
Wewe nimeshakutafuta angalia namba inayoishia 39. Tapeli wajinga wenzako.
 
Hahaaa hili jamaa jizi asee, matapeli wamekua wengi sana sababu ya vyuma kukaza.
 
Hahaaa safi sana mkuu, hawezi kumpiga mtu humu labda aende fb. Huku matapeli wanafeli wote.
Jf jina lingine inaitwa "home of the great thinkers"
Sasa huyu Mr jambazi aka tapeli yawezekana hata maana yake hajui..ndio maana anakuja na ujinga wa nanjilinji.
Asshole
 
Ramani gani nimekuchorea haieleweki? Ukitaka njoo uione nyumba hata kesho na ukitaka namba yangu nakupa

Mm sitegemei hii nyumba iuzwe au isiuzwe sipunguziwi chochote
Kua mkweli na ujibu swali hili tu.
1 kama hii nyumba hutegemei chochote, mbona umekua mkali ukiambiwa uache utapeli,
Na kwann ipo huku in the first place?
Ungekaa nalo tu banda lako la tope (km hata kweli unalo)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom