Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Mbona unakuwa mkali tena kwa wateja?

We inavyoonekana biashara itakushinda.
Ishamshinda, muuzaji ana lugha chafu sana. Yeye anafikiri kila mtu ni zwazwa na pia hustahili kumuhoji. Yaani kwa kuwa kaleta tangazo watu waende tu kama mapompoma bila hata kuuliza swali la kujiridhisha.
 
Nimepanik sn kuitwa tapeli wakati sijamtapeli mtu

Hiyo nyumba kama unawasiwasi nayo unaacha kununua sio kukashifu watu
Wewe ndio umeanza kukashfu watu baada ya kuletewa nyuzi zako zilizopita, why upaniki? Ungewaelewesha tu bila matusi bila shaka wangekuelewa. Lakini ukaanza kupotomosha lugha chafu sasa yamekurudi unajifanya kuonewa. Wewe umeleta biashara wateja au hata kama si wateja wanna haki ya kuhoji kama hutaki wahoji usingeleta tangazo hapa. Jichunguze bro.
 
Ishamshinda, muuzaji ana lugha chafu sana. Yeye anafikiri kila mtu ni zwazwa na pia hustahili kumuhoji. Yaani kwa kuwa kaleta tangazo watu waende tu kama mapompoma bila hata kuuliza swali la kujiridhisha.
Kuniiita tapeli, jambazi ndio kuhoji?
Waliohoji kistaraabu nimewajibu, siwezi kuitwa tapeli nikakaa kimya sababu ya hiyo biashara ya nyumba wakati sijamtapeli mtu yeyote
 
Ishamshinda, muuzaji ana lugha chafu sana. Yeye anafikiri kila mtu ni zwazwa na pia hustahili kumuhoji. Yaani kwa kuwa kaleta tangazo watu waende tu kama mapompoma bila hata kuuliza swali la kujiridhisha.
Hizi ni hulkabza matapeli,
Maana hua hawana majibu sahihi
 
Wewe ndio umeanza kukashfu watu baada ya kuletewa nyuzi zako zilizopita, why upaniki? Ungewaelewesha tu bila matusi bila shaka wangekuelewa. Lakini ukaanza kupotomosha lugha chafu sasa yamekurudi unajifanya kuonewa. Wewe umeleta biashara wateja au hata kama si wateja wanna haki ya kuhoji kama hutaki wahoji usingeleta tangazo hapa. Jichunguze bro.
Nimewaelewesha hawataki kuelewa, kwani biashara kama hujaielewa si unaacha kununua tu? Sasa mtu ananiita jambazi,tapeli na jizi kisa hiyo nyumba ww unaona sawa?

Ujambazi wangu ni upi? Utapeli wangu ni upi? Hii nyumba kama hutaki kununua acha

Hili tangazo la nyumba haliwezi kunivunjia heshima yangu nikakaa kimya, nyumba si yangu iuzwe isiuzwe mm sipati chochote, na humu jf kuna watu nafahamiana nao kwa shughuli zetu zengine kabisa tofauti na hiyo nyumba sasa unavyoniita tapeli lazima nikasirike sn
 
Kupitia : Jf Niombe kuutangazia Umma ninauza kiwanja changu kiko Igombe ,Eneo zuri ni Karibu na barabarani wenye usafiri wao wanaingia bila shida ndiko nakoishi pamepimwa Hivi Karibuni bikoni zimewekwa hati Ndio haijatoka ,wenye fedha wanaweza kuchimba bwawa wakafuga samaki ,kiwanja ni 62/78 hatua za Mtu mzima bei ni mazungumzo mwenye nia aitafute Igombe iko Ilemela Mwanza aulize kwa Alphonce A Kagezi hata ukiuliza hilo la Mwisho hata Mtoto mdago atakufikisha bila shida au piga Simu +255 753 537 7116 au +255 688 787 828 Karibu tufanye biashara sharti la Malipo ni kulipa kwa Akaunti bank tukiwa tumeelewana bei na Malipo lazima yaingizwe na kuthibitishwa

Hili jukwaa linapoelekea hili sijui tu.Sasa mkuu umesema kiwanja kimepimwa ila hati haijatoka.Ila eneo la kiwanja limepimwa kwa miguu ya mtu mzima,wewe umeona wapi kiwanja kikapimwa kwa hizo units?Mtu mzima mrefu au mfupi?Kwa hiyo kwenye hati pia wataandika 4836 square miguu ya mtu mzima sio

Hebu kuwa mkweli.Weka vipimo sahihi in metres au sema ukweli tu kuwa kimepimwa kienyeji ndio maana mnahesabiana miguu
 
Huoni kama hiyo nyumba ni mpya? Na mtu akitaka kununua si anafika nyumba ilipo anaiona?
Huo uchoko unaoleta ww
Soma hapa halafu ona nani kaanza kujivunjia heshima. Huyu umemuita choko wewe ndio basha wake? Au kuna kakutukana?
 
ni kweli hana pesa analeta porojo tu

Kila mtu yupo makini, mwenye hii nyumba nae ana akili kanunua hapa kajenga nyumba anauza

Pangekuwa kuna utata asiwekeza pesa zake nyingi
Mkuu hiyo nyumba imejengwa na ikaanza kutumika halafu ndio inauzwa,mimi pia nina nyumba tabata maeneo ya highland hall,lakini ukweli ni kwamba tabata baracuda mpaka kushuka mitaa ya kwa wagumu nyumba zinaweza kubomolewa muda wowote,hebu piga picha nyumba nzima kwa nje ili uondeoe utata na acha kupanic kuwa mpole maana kila biashara ina changamoto
 
Mkuu hiyo nyumba imejengwa na ikaanza kutumika halafu ndio inauzwa,mimi pia nina nyumba tabata maeneo ya highland hall,lakini ukweli ni kwamba tabata baracuda mpaka kushuka mitaa ya kwa wagumu nyumba zinaweza kubomolewa muda wowote,hebu piga picha nyumba nzima kwa nje ili uondeoe utata na acha kupanic kuwa mpole maana kila biashara ina changamoto
Sawa nitapiga picha, hii nyumba haipo wagumu ipo huku maeneo ya mnarani huku maduka mawili
 
Style za kijambazi
Ndugu umeniita mm tapeli ukaniita mm jizi na sasa unaniita mm jambazi

Ukiacha hili tangazo la kuuza nyumba ambayo ukiipenda unaweza kuinunua ukiona hujaridhika nayo unaweza ukaacha sijawahi kuwa tapeli, mwizi wala jambazi ila kama ww una uhakika mm ni jambazi au mwizi au tapeli naomba tukutane kesho kituo chochote cha polisi nambie nitakuja

Au kama unaogopa kituoni niambie popote ulipo mm nitakuja alafu unambie wizi wangu ni upi au utapeli wangu ni upi au ujambazi wangu ni upi

Umenichafua vya kutosha naona watu wengine wameibeba kama ilivyo, lazima uthibitishe utapeli wangu ni upi ukishindwa nitajua nitakachokufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom