INAUZWA Nyumba inauzwa ipo Mwanza wilaya ya Misungwi

Brightly

JF-Expert Member
Apr 28, 2022
261
353
Nyumba inauzwa ipo Mwanza wilaya ya Misungwi, ina vyumba vitatu kimoja master, sebule kubwa, dinning room pamoja na jiko, inauzwa kuanzia million 25. Uwanja umepimwaa na haina mgogoro wowote, karibuni sana.mawasilano +255 769 088 152
 

Attachments

  • IMG-20230310-WA0007.jpg
    IMG-20230310-WA0007.jpg
    109.4 KB · Views: 37
  • IMG-20230310-WA0005.jpg
    IMG-20230310-WA0005.jpg
    73.8 KB · Views: 40
  • IMG-20230310-WA0004.jpg
    IMG-20230310-WA0004.jpg
    64.8 KB · Views: 37
  • IMG-20230310-WA0007.jpg
    IMG-20230310-WA0007.jpg
    109.4 KB · Views: 34
  • VID-20230310-WA0009.mp4
    37.3 MB
Nyumba inauzwa ipo Mwanza wilaya ya Misungwi, ina vyumba vitatu kimoja master, sebule kubwa, dinning room pamoja na jiko, inauzwa kuanzia million 25. Uwanja umepimwaa na haina mgogoro wowote, karibuni sana.mawasilano +255 769 088 152

Kwenye hiyo picha ya pili ni kitu gani hicho kinachoonekana upande wa kushoto?
 
Mkuu.....
Aikunyingine ukitaka kuweka tangazo la biashara hakikisha unaweka picha ambazo zinaonekana vizuri ikiwezekana pande zote za bidhaa.
Weka mawasiliano yako ama mawasiliano ya bidhaa.
Elezea location mzigo au bidhaa ilipo.
Ikikupendeza sema wewe unaoatikana wapi.
Bila hivyo utakutana na vichaa humu wamevurugwa na mambo mbalimbali alafu utaichukia jf kwa kuona kama wanakusagia kunguni.
 
Mkuu.....
Aikunyingine ukitaka kuweka tangazo la biashara hakikisha unaweka picha ambazo zinaonekana vizuri ikiwezekana pande zote za bidhaa.
Weka mawasiliano yako ama mawasiliano ya bidhaa.
Elezea location mzigo au bidhaa ilipo.
Ikikupendeza sema wewe unaoatikana wapi.
Bila hivyo utakutana na vichaa humu wamevurugwa na mambo mbalimbali alafu utaichukia jf kwa kuona kama wanakusagia kunguni.
Hajapata picha bado?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom