Nyumba inauzwa hataka

Nyumba inauzwa hataka

Poxino

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
727
Reaction score
53
Sehemu kubwa kiasi tambarare inakinyumba cha vyumba 2 nachoo yombo kwaalbowa mkoa dar wilaya temeke Barbara yalami naumeme nguzo IPO uwajani kwan kwenye ivyohaujaingizwa umeme ukubwa mit 35 urefu upana 15 bei mill 14 haipunguiSimu 0712690760
 
Nyumba yenyewe iko wapi na picha yake pia
 
... Wewe ni dalali au ndiye mwenye nyumba?
 
Sehemu kubwa kiasi tambarare inakinyumba cha vyumba 2 nachoo yombo kwaalbowa Barbara yalami naumeme nguzo IPO uwajani bei mill 14 Simu 0712690760

Una uhakika na unachotangaza......? Hebu weka tangazo kisomi kidogo........
 
Sehemu kubwa kiasi tambarare inakinyumba cha vyumba 2 nachoo yombo kwaalbowa Barbara yalami naumeme nguzo IPO uwajani bei mill 14 Simu 0712690760

Ni kweli una haraka sana ya kuuza nyumba,
haraka hii bila tangazo kueleweka ni sawa na bure,
Tulia pangilia vizuri maneno yako ili hiyo haraka iweze kutimia otherwise utakuwa umepoteza muda mwingi bila +ve response!
 
Nakushauri uweke picha ya nyumba na pia uoneshe ukubwa wa kiwanja mf. Nyumba ipo kwenye kiwanja cha ukubwa wa mt 10 kwa m 15
Ndio utaweza kupata mteja kwa haraka
 
Muuzaji hayuko serious. Response kibao mwenyewe kaingia mitini! Mara nyingi watu wa namna wanakuwaga madalali...
 
Sehemu kubwa kiasi tambarare inakinyumba cha vyumba 2 nachoo yombo kwaalbowa Barbara yalami naumeme nguzo IPO uwajani bei mill 14 Simu 0712690760
Mkuu rekebisha Heading basi Kiswahili Lugha Yetu Nyumba inauzwa Hataka? au Haraka!
 
Sasa hiyo nyumba au vyumba, inabidi isokeme VYUMBA VINAUZWA
 
Hio inaweka ikawa ni boma au kibanda tu
Kaka unataka kununua nyumba yenye marumaru kwa 14 mill kwan nyumba za mill m100 waweza kwenda kununua hii nikwajiliya walalahoi wenzangu nao wapate mahal
 
Hio inaweka ikawa ni boma au kibanda tu
Kaka unataka kununua nyumba yenye marumaru kwa 14 mill kwan nyumba za mill m100 waweza kwenda kununua hii nikwajiliya walalahoi wenzangu nao wapate mahal
 
Ni kweli una haraka sana ya kuuza nyumba,
haraka hii bila tangazo kueleweka ni sawa na bure,
Tulia pangilia vizuri maneno yako ili hiyo haraka iweze kutimia otherwise utakuwa umepoteza muda mwingi bila +ve response!
Ana haraka hata neno haraka kakosea na kuita hataka maana herufi t ipo karibu na r!!!!
 
Ana haraka hata neno haraka kakosea na kuita hataka maana herufi t ipo karibu na r!!!!

Asant kwa wale wachambuz wa lugha wenye k ukosoa na wasio navyakusema wakajikuta wameropoka tu asanten HISHAUZWA
 
Back
Top Bottom