Habari
Natafuta nyumba chakavu in Dar ambayo iko barabarani kwenye mzunguko waa watu wengi ambapo unaweza kufungua biashara, Chaa msingi iwe sehemu Nzuri ambapo badae unaweza kujenga naa kuweka frames zaa vyumba naa kukodisha ama kufanya biashara mwenyewe.
Budget yangu ni up to 40mil.
Shukrani
Natafuta nyumba chakavu in Dar ambayo iko barabarani kwenye mzunguko waa watu wengi ambapo unaweza kufungua biashara, Chaa msingi iwe sehemu Nzuri ambapo badae unaweza kujenga naa kuweka frames zaa vyumba naa kukodisha ama kufanya biashara mwenyewe.
Budget yangu ni up to 40mil.
Shukrani