Nyumba iliyochomwa na FFU Mtwara

Nyumba iliyochomwa na FFU Mtwara

BAK nimesema sana huko nyuma hadi nikajishtukia mwenyewe
Mie nakuomba usikae kimya wakati unyama kama huu ukiendelea sehemu mbali mbali nchini.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Wananchi wakichoma nyumba, mahakama, magari, ofisi na kuharibu miundombinu mnashangilia tena kuhamasisha juu kuwa waendelee kuchoma. Ila ikisemwa polisi wamechoma mnawaandama polisi na kuwalaani kwa nguvu zote kana kwamba wakati nyumba inachomwa mlikuwa mnashuhudia na kuhakikisha kuwa kweli aliyechoma ni polisi.

Kazi ya jeshi la polisi ni kulunda usalama wa ria na mali zao. Wakigeuka kuwa sio walinzi tena wa mali za wananchi nani atafanya kazi hiyi? Ilikuwa ni jukumu lao kuhakikisha wanachiwenye hasira kali hawafanyi matendo kama hayo. Usituletee habari ya mtu akila samaki sawa ila samaki akila mtu nongwa. That is nature.
 
Swali midomoni mwa kila mpenda amani ni kwamba je nako kesho Rais Kikwete ataendelea kutumia FFU na Mizinga ya kijeshi kukandamiza uhuru wa kikatiba Wana-Mtwara unaowaruhusu kufanya maandamano ya amani KUPINGA KILE WASICHOKUBALIANA NACHO bila ya kubughudhiwa na mtu au chombo chote kile???????

Kazi ya jeshi la polisi ni kulunda usalama wa ria na mali zao. Wakigeuka kuwa sio walinzi tena wa mali za wananchi nani atafanya kazi hiyi?

Ilikuwa ni jukumu lao kuhakikisha wanachiwenye hasira kali hawafanyi matendo kama hayo. Usituletee habari ya mtu akila samaki sawa ila samaki akila mtu nongwa. That is nature.
 
Ni aina gani ya elimu ambayo Prof Muhongo anadai kuwapa BAADHI YA WANA-MTWARA juu ya gesi; je ni elimu ya KUKUBALIANA NA SERIKALI, iwe isiwe, kwa chochote kile kisicho na maslahi kwao au ilikua ni elimu ya kuwaelekeza Wana-Mtwara kupata fursa ya MAONI YAO KUZINGATIWA KAMA NDIO MSINGI WA MRADI WA GESI bila ya vitisho vya FFU na Mizinga ya Kijeshi???????????????????
 
Sitaki kuamini kama Askar we2 hawana Maadili vp mbna hauzungumzii nyumba za askari za uraiani zilizochomwa Nyambafu kabsa

Maadili hayo waliyapata lini, kwani ww uko nchi gani mwenzetu? uchafu unaoonekana polisi kila kukicha unataka uone nn ili uamini? Unless tutaanza kutilia mashaka akili yako. Polisi wamemuua mwangosi picha zinaonesha live, wamemuua mjamzito mtr, polisi wanabeba bangi kwenye magari ya polisi, wanaua watu wnachukuwa fuvu wanabambikizia raia(kwa kuyataja kwa uchache tu), ina maana haya yote ww hujayasikia? Nina mashaka na akili yako.
 
CCM imezikwa rasmi mikoa ya kusini,leteni kadi zenu za ccm na tukafanya recycling na kutengeneza toilet paper.Msichome moto.Tutapata hasara.
 
Back
Top Bottom