Nyuma ya pazia: Kwanini Lowassa anahutubia kwa muda mfupi sana?

TeamLowassa

JF-Expert Member
Nov 30, 2013
1,495
936
Kimsingi Lowassa sio mtu wa maneno mengi. Maneno machache matendo mengi yenye ukamilifu! Lakini jambo hili wengi hawafahamu vema, nakiri kuna wanaofahamu!

Ni hivi kutokana na watu kujaa kwenye mikutano ya Lowassa, yeye kwa busara zake mwenyewe, kwa hekima zake mwenyewe na pamoja na viongozi wa chama na wanachama Lowassa ameshauriwa kuongea kwa muda mchache sana iwezekanvyo ili kuwanusuru wananchi waliobanana kwenye mikutano yake jambo ambalo hupelekea wakose hewa na hatimaye kukosa fahamu!

Hili lipo nyuma ya pazia, lakini nimeona sio vibaya na watanzania wengine wakapata kufahamu hili!
 
Kimsingi Lowassa sio mtu wa maneno mengi. Maneno machache matendo mengi yenye ukamilifu! Lakini jambo hili wengi hawafahamu vema, nakiri kuna wanaofahamu!

Ni hivi kutokana na watu kujaa kwenye mikutano ya Lowassa, yeye kwa busara zake mwenyewe, kwa hekima zake mwenyewe na pamoja na viongozi wa chama na wanachama Lowassa ameshauriwa kuongea kwa muda mchache sana iwezekanvyo ili kuwanusuru wananchi waliobanana kwenye mikutano yake jambo ambalo hupelekea wakose hewa na hatimaye kukosa fahamu!

Hili lipo nyuma ya pazia, lakini nimeona sio vibaya na watanzania wengine wakapata kufahamu hili!

Few words speak more loudly than push ups,dancing,and vernacular languages greatings!!
 
Point tupu sisizo na chembe ya tusi! Hekima na busara ya kiutu uzima inayofaa kwa mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu! Kumlinganisha na Magufuli ni kama kulinganisha kichuguu na mlima Kilimanjaro! Kweli Lowasha anatosha!
 
Mtiani umejitungia mwenyewe na kuji sahishia mwenye.
Kichwani haikukuni.

Kuna wanao mfahamu el zaidi ya mkewe.
 
Acha mashairi,kwa hiyo mbowe akiongea muda mrefu hakuwezi kutokea madhara ya mbanano ndo maana tunduma mbowe akatumia mic hizo hizo kusema.kwa rais wenu hazitasikika,maigizo mengine ni ya chei chei shangazi
 
Acha mashairi,kwa hiyo mbowe akiongea muda mrefu hakuwezi kutokea madhara ya mbanano ndo maana tunduma mbowe akatumia mic hizo hizo kusema.kwa rais wenu hazitasikika,maigizo mengine ni ya chei chei shangazi
 
Hatuhitaji maneno mengi. Tumesikia maneno mengi kwa JK na sasa kwa Magufuli. Lowassa ndo habari ya vijijini.
 
Mtiani umejitungia mwenyewe na kuji sahishia mwenye.
Kichwani haikukuni.

Kuna wanao mfahamu el zaidi ya mkewe.

Eeeh hapa umenitisha kidogo.. yani unataka kusema wewe unamfaham EL ndani nje zaidi ya Regina? duh ndio maana basi una chuki hivi kumbe alikutelekeza.
VIVA UKAWA!!!!
 
Back
Top Bottom