Nyota yako leo Jumapili juni 22/2025

Nyota yako leo Jumapili juni 22/2025

Hio picha lazima itishe watu na kuonekana nyota ni ushirikina.
Kwann usiweke profile rafiki kwa mazingira na sio hizo za ujinini
 
Kutafuta mganga wa jadi au mtaalamu wa tiba za asili

Mganga wa kweli anaweza kufanya tambiko (sadaka, matoleo) kwa mizimu ili kutuliza roho zinazomsumbua.

Anaweza kutumia dawa za asili (miti shamba, mafusho, maji ya dawa).


Kufanya matambiko ya kupatanisha na mizimu

Wazee wa ukoo au wanandugu hufanya sherehe ndogo kwa mizimu kama chanzo ni roho za mababu waliokasirika.


3️ Kufukiza na kunyunyizia maji yenye dawa

Mafusho ya miti maalum.

Ukiitaj msaada zaidi kalibu🙏🏽
Sawa Mkuu nakupata
 
Hio picha lazima itishe watu na kuonekana nyota ni ushirikina.
Kwann usiweke profile rafiki kwa mazingira na sio hizo za ujinini
Wewe umejuaje kama izo picha n za ujinini?
Tuanzie apo kwanza 😂🤷🏽‍♂️
 
Utanistua kaka uwahi mapema kabla mwezi wa saba haujaisha maana sasa hivi huku ni mavuno ,ninapata hela za bure kwa wakulima kwa kuwatafsilia habari za kingereza wanakijiji ili usije fika kipindi sina hela ukaishi kinyonge kaka
Ebu kwanza pm unipe za soda mkuu😂😂
 
Zamani kabla sijaamka nilikuwa na mawazo ya wengi kwamba elimu ya nyota ni ushirikina,but baada ya kuingia deep nikagundua ni fikra hasi na ukosefu wa maarifa kwa wengi.
Ushirikina ni matumizi mabaya ya nguvu za asili ili kudhuru,kama ukitumia nguvu za asili kwa ajili ya matendo ya nuru sio ushirikina.
 
Zamani kabla sijaamka nilikuwa na mawazo ya wengi kwamba elimu ya nyota ni ushirikina,but baada ya kuingia deep nikagundua ni fikra hasi na ukosefu wa maarifa kwa wengi.
Ushirikina ni matumizi mabaya ya nguvu za asili ili kudhuru,kama ukitumia nguvu za asili kwa ajili ya matendo ya nuru sio ushirikina.
Yeah asili n kama kisu tu ,ukitumia vyema utakata mboga utapika utakula utashiba ukikitumia vibaya utaishia kwenda jela nk
 
Kabla nilikuwa sijui kwamba kumbe kila mtu ana namba yake ya kiroho ndio imebeba kila kitu kuhusu yeye hadi mwisho wa maisha yke apite wapi akwepe vipi vizuizi thus Pana watu maisha kwao ni mserereko unakuta mtu kazaa watoto tisa na wote wamenyooka tu Wana KAZI za maana, wengine biashara, wengine nje ya nchi wengine ni wasomi wakubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom