Nyomi la Usaili wa Nafasi 40 TRA

Nyomi la Usaili wa Nafasi 40 TRA

Tatizo la ajira limeshakuwa ni tatizo kubwa sana, tujaribu pia na njia mbadala za kutatua kama kujiajiri wenyewe.
 
Duh bora mimi nalipwa 225,000/= kazi yangu haina ushindani hata wakinitimua leo nikenda mkoa mwingine nalamba mchana kweupe.
 
Msaada hii namba inaweza ikawa ya taasisi gani? Nimekuta missed call

+255 0255627234142
 
Nafasi moja inagombaniwa na watu 591, probability ya kupata nafasi ni 0.001692047....
All the best.
 
Ndio maana hata urais aligombea 38 wakati anahitajika mmoja tu.
 
Hawa ndio waliokuwa wanawacheka BAED vyuoni nakuwaona wenzao wamepotea njia..mtaisoma number nyumbu nyie hapo tayari hizo nafasi zote 40 zinawatu wake
Hii inaitwa inferiority complex. Hamjachekwa bali wenyewe mnajishtukia. Wote wawe walimu hao ma dk, wahasibu nk watatoka wapi. After all hata ualimu utakuwa wa kuomba sasa si kupangwa. Upo? Kenge we!
 
Hii inaitwa inferiority complex. Hamjachekwa bali wenyewe mnajishtukia. Wote wawe walimu hao ma dk, wahasibu nk watatoka wapi. After all hata ualimu utakuwa wa kuomba sasa si kupangwa. Upo? Kenge we!
Hili nyumbu jingine sijui limetoka wapi.nani asiyejua maneno yenu ya kashifa kwa wanaosomea ualimu mliyokuwa mnayatoa kipindi hicho.wahasibu watatoka wapi waliopo c wanatosha.limtu from nowhr linasomea uhasibu wakati linajua kabisa halina connection na ajira zinasumbua mnabaki kutupigia pigia kelele kwenye mitandao huku.MTAISOMA NUMBER
 
Kwa idadi hiyo ya wanaotaka kufanyiwa usaili na idadi ya nafasi iliopo kwa watakaochaguliwa/watakaopitishwa.

Kwa kweli inasikitisha sana.

Hawawatendei haki
 
Back
Top Bottom