mshamba mchangamfu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 338
- 91
hii style ya joka sijui kwanini wale wa unyamwezini hawana hiii ukanda ule ungekuwa bata sanaa
Joka la makengeza a.k.a The Hustler of all time achana na yote jamaa atakua mentor watu wengi sana wapigaji maana harakati zake ziko wazi na la kumfanya hatuna na yeye ni jeshi la mtu mmoja haaa haa nasubiri mkuu wa awamu hii kama atamgusa JOKA.
Aiseeee, Ntuzu Republic hawatakubakiza.Lakini nimechekapo, lol!Joka dawa yake kujitolea mhanga tu sambaratisha na bomu
Kama mtu anakumbuka kwao na nyie mnamkubali, haina utata, ila bungeni ukitoa kiwawakilisha nyie, hama mchango zaidi ya kupasha kiti joto.
Bila shaka hizi ni akili za lofa mmoja,makengeza atawafanya manyumbu hadi wajukuu zenuMtavimba mpasuke lakini Mheshimiwa Chenge, Nyoka msaka pesa anakuja tena. Hatukujari Magufuli kuacha kumnadi jukwaani wakati wa kampeni, tumemchagua kwa kishindo.
Anakuja, kama kawaida yake, polepole anageuza makengeza kusaka harufu ya noti. Kama vile hataki, kama vile zezeta kumbe anasaka pesa. Mtadhani ni mjingamjinga kumbe ametumwa hela. Mkijisahau tu, huyoo anachota mapene, anatuletea watu wake hapa Bariadi kwa wanyantuzu, super race.
Tunamshukuru hela za escrow alitusaidia kujenga maabara. Kubwa zaidi ametujengea kiwanda cha kufyatua mikate... yaani full kushiba. Sasa hivi badala ya asubuhi kula gabhugali ga ndemi, tunakula slesi za mkate na mabhele mabhobhotto(maziwa mgando)...hapo lafudhi ya kinyantuzu lazima iendelee. Na kwa vile rais ni WETU, hapo ni ng'wangaluka hadi Ikulu. Mtaisoma namba.
tumempenda wenyewe ,chaguo letu wenyewe...Bila shaka hizi ni akili za lofa mmoja,makengeza atawafanya manyumbu hadi wajukuu zenu
Kwa watanzania na serikali yao fisadi ni lowasa tu wengine wote malaikaMtavimba mpasuke lakini Mheshimiwa Chenge, Nyoka msaka pesa anakuja tena. Hatukujari Magufuli kuacha kumnadi jukwaani wakati wa kampeni, tumemchagua kwa kishindo.
Anakuja, kama kawaida yake, polepole anageuza makengeza kusaka harufu ya noti. Kama vile hataki, kama vile zezeta kumbe anasaka pesa. Mtadhani ni mjingamjinga kumbe ametumwa hela. Mkijisahau tu, huyoo anachota mapene, anatuletea watu wake hapa Bariadi kwa wanyantuzu, super race.
Tunamshukuru hela za escrow alitusaidia kujenga maabara. Kubwa zaidi ametujengea kiwanda cha kufyatua mikate... yaani full kushiba. Sasa hivi badala ya asubuhi kula gabhugali ga ndemi, tunakula slesi za mkate na mabhele mabhobhotto(maziwa mgando)...hapo lafudhi ya kinyantuzu lazima iendelee. Na kwa vile rais ni WETU, hapo ni ng'wangaluka hadi Ikulu. Mtaisoma namba.
Kama mtu anakumbuka kwao na nyie mnamkubali, haina utata, ila bungeni ukitoa kiwawakilisha nyie, hama mchango zaidi ya kupasha kiti joto.
Mtavimba mpasuke lakini Mheshimiwa Chenge, Nyoka msaka pesa anakuja tena. Hatukujari Magufuli kuacha kumnadi jukwaani wakati wa kampeni, tumemchagua kwa kishindo.
Anakuja, kama kawaida yake, polepole anageuza makengeza kusaka harufu ya noti. Kama vile hataki, kama vile zezeta kumbe anasaka pesa. Mtadhani ni mjingamjinga kumbe ametumwa hela. Mkijisahau tu, huyoo anachota mapene, anatuletea watu wake hapa Bariadi kwa wanyantuzu, super race.
Tunamshukuru hela za escrow alitusaidia kujenga maabara. Kubwa zaidi ametujengea kiwanda cha kufyatua mikate... yaani full kushiba. Sasa hivi badala ya asubuhi kula gabhugali ga ndemi, tunakula slesi za mkate na mabhele mabhobhotto(maziwa mgando)...hapo lafudhi ya kinyantuzu lazima iendelee. Na kwa vile rais ni WETU, hapo ni ng'wangaluka hadi Ikulu. Mtaisoma namba.
Elimu Elimu Elimuuuuuuuu! Mtakasaji ameweka hii kama satire (tashtiti) na kinachosemwa sicho. Kimsingi anatucheka sisi kama taifa kwa ujumla. Home of the Great Thinkers indeed!Wengi hamjamwelewa Mtakasaji.....
Kijana Godwin Simba alifika wapi? Mara ya mwisho nilimsikia akiwa analalamika kuwa ametelekezwa na uongozi wa CHADEMA kiasi kwamba hakupata msaada wo wote wa kampeni. Ni kweli? Nilifikiri kwamba ataliangusha joka safari hii...tumempenda wenyewe ,chaguo letu wenyewe...