Si anajua kuwa wale watu ni ngazi ya kwenda sehemu akapige deal kama kawaida yao?Vipi hali za raia vipi elimu vipi afya jimboni kwake maana anayoyafanya wakati wa uchaguzi ni balsa
Naona anachinja ng'ombe 10 pilau ya kufa mtu wali ni kupiga misosi tu akishinda ndio usiseme nasikia watu wanashiba wenyewe
Anachaguliwa kwa maendeleo au ni kwa nyama na pilau?
Tusaidiane mnaolijua jimbo lake
Anachaguliwa kwa kuleta maendeleo. Anaungana na wananchi wake ktk kuboresha elimu afya na miundo mbinu. Wananchi wanapochangia maendeleo anawaunga mkono. Vijiji vyake vyingi vimepata umeme na vilivyobakia vipi ktk mpango wa kupata umeme. Karibu bariadi ili ujionee
Unamaanisha nini kuchorwa kwa jimbo la Bariadi Mjini? Unaongea kishabiki na kidaku daku sana mpaka hueleweki. Jikaze uongee vizuri ueleweke mkuu. Huyo Simba ana makazi hapo Bariadi au alivamia tu?
Unaelewa nini kuhusu tashtiti (satire) wewe? Matumizi mazuri ya tashtiti hayahitaji hoja kinzani na maelezo meengi yasiyoeleweka. Tashtiti nzuri inakupeleka moja kwa moja kwenye hoja ya msingi tena mara nyingi kwa lugha nyepesi na yenye kufurahisha (ucheshi) halafu ukifika mwisho unagundua kuwa kumbe kinachosemwa na hata kuchekwa ndicho-sicho.Hahahahaaaa,
naona umeachwa solemba na tashtiti.
Elimu elimu elimu. Usipende kurupuka utakasirika bure.
Unaelewa nini kuhusu tashtiti (satire) wewe?
Naijua vizuri...
Hapo juu hakuna cha tashtiti wala nini bali ni uandishi wa kizembe tu na uvivu wa kupangilia hoja kindakindaki.
Hahaa, ww si ndio ulijifanya umeielewa tashtiti bhana, kumbe hukuielewa, so elimu zaidi unahitaji, haswa ya tashtiti.
Wewe utakuwa unatokea Mwakibuga, kwa washamba wa kukomba na chai. Kwani Joka kipindi anakuja BR alikuwa na makazi? Kwa taarifa yako Joka bila Ubunge usingemuona Bariadi. Ni Sharobaro wa nguvu, suti zake huagiza kutoka London. Kitu kingine joka 'ameshikwa' sana na mke wake Komando Suzy,joka hafurukuti kama ilivyokuwa kwa Rais Kibaki. Hata neno kuchora hujui maana zake?!!!Unamaanisha nini kuchorwa kwa jimbo la Bariadi Mjini? Unaongea kishabiki na kidaku daku sana mpaka hueleweki. Jikaze uongee vizuri ueleweke mkuu. Huyo Simba ana makazi hapo Bariadi au alivamia tu?
Kwa hiyo mpaka ucheke wewe ndio itakuwa satire? Who was your language teacher, Ong'wise?Unaelewa nini kuhusu tashtiti (satire) wewe? Matumizi mazuri ya tashtiti hayahitaji hoja kinzani na maelezo meengi yasiyoeleweka. Tashtiti nzuri inakupeleka moja kwa moja kwenye hoja ya msingi tena mara nyingi kwa lugha nyepesi na yenye kufurahisha (ucheshi) halafu ukifika mwisho unagundua kuwa kumbe kinachosemwa na hata kuchekwa ndicho-sicho.
Hapo juu hakuna cha tashtiti wala nini bali ni uandishi wa kizembe tu na uvivu wa kupangilia hoja kindakindaki. But again you are right: Elimu, elimu, elimu. Safari yetu kama taifa bado ni ndefu kwani hata wa.ji.nga wanafikiri kuwa ni werevu. Pathetic!
Mkuu huyo nyoka wa makengeza aje tu mjengoni tunamsubiri kwa hamu sana. Ila mwaka huu awe makini vinginevyo atarithi eidha chumba cha Yona au MRAMBA pale Segerea ndiyo maana Magufuli alimkwepa kumnadi.
Wala usishangae,hao ndio wanyatuzu ktk ubora wao. Yaani ni bure kabisa kichwani.kheeeee makubwa .. mkate kumbe
Sawa mkuu. Mimi ndiyo sikuielewa tashtiti. Yaani nguvu za kuendelea kuhojiana zimeniishia ghafla. Have a nice day!Unaelewa nini kuhusu tashtiti (satire) wewe?
Naijua vizuri...
Hapo juu hakuna cha tashtiti wala nini bali ni uandishi wa kizembe tu na uvivu wa kupangilia hoja kindakindaki.
Hahaa, ww si ndio ulijifanya umeielewa tashtiti bhana, kumbe hukuielewa, so elimu zaidi unahitaji, haswa ya tashtiti.
Ukisoma tena maelezo yangu hapo juu utanielewa tu. As to my language teacher - tunamalizia kitabu kinachoitwa "Tashtiti Katika Fasihi ya Kiswahili" na kitachapishwa na Mkuki na Nyota Publishers mwaka kesho. Humo kuna makala nzuri za mabingwa wa fasihi wakiwemo Kezilahabi, Senkoro pamoja na Ngugi. Ninazo makala mbili humo moja comparative na akina Charles Dickens, George Orwell etc kwa muktadha wa Juvenalian satire. That's my language teacher sir!Kwa hiyo mpaka ucheke wewe ndio itakuwa satire? Who was your language teacher, Ong'wise?
Vipi tena mkuu? Hii si mada yako wewe? Mimi niliuliza tu kistaarabu kwani sijui. Sasa mambo ya Mwakibuga yanatoka wapi tena?Wewe utakuwa unatokea Mwakibuga, kwa washamba wa kukomba na chai. Kwani Joka kipindi anakuja BR alikuwa na makazi? Kwa taarifa yako Joka bila Ubunge usingemuona Bariadi. Ni Sharobaro wa nguvu, suti zake huagiza kutoka London. Kitu kingine joka 'ameshikwa' sana na mke wake Komando Suzy,joka hafurukuti kama ilivyokuwa kwa Rais Kibaki. Hata neno kuchora hujui maana zake?!!!