Nyoka wa Makengeza anakuja tena!

Nyoka wa Makengeza anakuja tena!

Hayo ya kwako sisi tuliokuwa bariadi tuliona amemnadi na kumuombea kura pamoja na madiwani. Propaganda zenu hazina nafasi bariadi. Jimbo hili lilikuwa upinzani tangu 1995 - 2005. Na lilikuwa kichaka. Nyoka wa makengeza kaliboresha sana. Tumepata mkoa. Bariadi ndio
 
Failure? He is a harvard graduate uliza ni wa tz wangp wameenda harvard. Failure? ana mke na watoto wenye akili. Mjinga ww
 
Kijana Godwin Simba alifika wapi? Mara ya mwisho nilimsikia akiwa analalamika kuwa ametelekezwa na uongozi wa CHADEMA kiasi kwamba hakupata msaada wo wote wa kampeni. Ni kweli? Nilifikiri kwamba ataliangusha joka safari hii...
godwini kumshindanisha na chenge ilikua wanamuonea tu
 
Failure? Havard graduate uliza Tz walioenda havard ni wangapi. Mwanasheria mkuu for 13 years. Ana mke na watoto sasa failure wapi? Hizo chuki zako binafsi.
 
Viva chenge kwa maendeleo ya Bariadi. Kama amepiga deal na mna ushahidi nendeni mahakamani. Lkn hamuwezi kumzuia kutumia taaluma yake ya sheria katika kutoa ushauri. Na ss tulimchagua kuwa mbunge sio waziri hivyo acheni kujikanyaga. Wana Bariadi tuna imani nae Batiafi ya chenge Tanzania ya Magufuli. Lol
Bariadi ya Chenge... ndo ulitaka kumaanisha Ong'wise?
 
Kijana Godwin Simba alifika wapi? Mara ya mwisho nilimsikia akiwa analalamika kuwa ametelekezwa na uongozi wa CHADEMA kiasi kwamba hakupata msaada wo wote wa kampeni. Ni kweli? Nilifikiri kwamba ataliangusha joka safari hii...
Joka halijui kuongea,..sorry joka, (unajua sana) joka linaamini katika 'pesa inaongea' halafu wapiga kura sisi tulileweshwa na element ya usukuma, unyantuzu...na...
 
Thubutu. Simba wanaishi serengeti pamoja na kuingia kwa mbwembwe na kujidai ana mapesa ya mzee "machache" wa kanda ya kaskazini uraiani amekutana na chenge duhuuu.
 
Hivi huyu Godwin Shimba ni mtoto wa marehemu mzee Ngwilimi wa Bariadi aliyekuwa SHIRECU kipindi hicho.??
Aise sijui. Mi nilimsikia kwa mara ya kwanza wakati wa Escrow akigombana na Muhongo. Kumbuka ye ndo alikuwa mwanasheria mkuu WA TANESCO na Escrow ndiyo ilimfanya akafukuzwa kazi. Ni mwongeaji sana na niliamini kwamba angeweza kuliangusha joka Makengeza. Pole yake kwani naamini atakuwa kapoteza mamilioni.
 
godwini kumshindanisha na chenge ilikua wanamuonea tu
Frankly speaking,Simba yuko vizuri, na alideliver a big challenge kwa joka,the only problem ali miscalculate,..alidhani kutakuwa na kuchorwa kwa jimbo la Bariadi Mjini. Maana Bariadi kuna mamlaka ya mji mdogo. Sisi wa kijijini tulishakunywa damu ya joka,..jumlisha na mchango mkubwa wa Komando Suzy, mke wa joka.
 
Frankly speaking,Simba yuko vizuri, na alideliver a big challenge kwa joka,the only problem ali miscalculate,..alidhani kutakuwa na kuchorwa kwa jimbo la Bariadi Mjini. Maana Bariadi kuna mamlaka ya mji mdogo. Sisi wa kijijini tulishakunywa damu ya joka,..jumlisha na mchango mkubwa wa Komando Suzy, mke wa joka.
Unamaanisha nini kuchorwa kwa jimbo la Bariadi Mjini? Unaongea kishabiki na kidaku daku sana mpaka hueleweki. Jikaze uongee vizuri ueleweke mkuu. Huyo Simba ana makazi hapo Bariadi au alivamia tu?
 
Ana maana alitegemea jimbo la bariadi litakatwa maana lina halmashauri 2. Anyway ali chemka maana kuwa na halmashauri 2 sio kigezo pekee cha kukata jimbo.
 
Vipi hali za raia vipi elimu vipi afya jimboni kwake maana anayoyafanya wakati wa uchaguzi ni balsa
Naona anachinja ng'ombe 10 pilau ya kufa mtu wali ni kupiga misosi tu akishinda ndio usiseme nasikia watu wanashiba wenyewe
Anachaguliwa kwa maendeleo au ni kwa nyama na pilau?
Tusaidiane mnaolijua jimbo lake
 
Back
Top Bottom