Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Mm, mie ningezimia ninge muona live.. Naogopa nyoka hata awe mduchu...
Mm, mie ningezimia ninge muona live.. Naogopa nyoka hata awe mduchu...
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
atiiiii?????ana sumu kali sana,?au anagonga sehem nyeti???
Kobogo (black mamba) sio huyo. Huyu ni Chatu (Pythpn) Huyu hana sumu na chakula chake hukipata kwa kuvizia na kukunja kwa nguvu na kukaba. Hukaa sana kwenye milima na maljini. Akiwa majini hukimbia kwa kasi zaidi na kufanya mawindo kuwa rahisi.Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
Mm, mie ningezimia ninge muona live.. Naogopa nyoka hata awe mduchu...
Kama ni dereva wa hilo gari unasimama umwache aendelee na safari yakeingetokea gari imkanyage
Duunh sasa kama uko spidi hapa unafanyaje????!!!!
Kama ni dereva wa hilo gari unasimama umwache aendelee na safari yake
Mkuu nashukuru,nimejifunza kitu kipya kumbe chatu naye pia anaishi majini!Kobogo (black mamba) sio huyo. Huyu ni Chatu (Pythpn) Huyu hana sumu na chakula chake hukipata kwa kuvizia na kukunja kwa nguvu na kukaba. Hukaa sana kwenye milima na maljini. Akiwa majini hukimbia kwa kasi zaidi na kufanya mawindo kuwa rahisi.
Mkuu huyo nyoka ni jamii ya chatu au koboko?Anasumu Kali na ana hasira kweli. Anaua hadi ng'ombe 50 kwa mpigo. Huyo nyoka sikia na muone kwenye picha kama unavyomuona hapo.
Anasumu kali sana mkuu!atiiiii?????ana sumu kali sana,?au anagonga sehem nyeti???
Basi ingekuwa ndiyo mwisho wa maisha yake!ingetokea gari imkanyage
Mkuu wewe ni wa jinsi gani?kama ni mwanaume basi hiyo ni hatari sana,kama ni mwanamke ni haki yako mkuu!Mm, mie ningezimia ninge muona live.. Naogopa nyoka hata awe mduchu...