Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,620
Kwa nini hommie?
Ni picha ambayo nimekuwa nikiiona kwenye mtandao kwa muda mrefu sana.
Kwa nini hommie?
Tunaomba picha na chanzo cha habari kama vipoYaliyojiri;
"Nyoka mkubwa ameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa KINAPA katikati ya hifadhi ya msitu wa Ibukoni wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro wakati ujenzi wa barabara kuu ya Shimbi Mashariki kutokea Mengwe kupititia Ibukoni ya Juu ukiendelea. Karibu Kilimanjaro imeripoti.
Umeua...mjadala has clossed
700-Pound Snake — Giant Snake Found In North Carolina, Facts And Photos
700-Pound Snake — Giant Snake Found In North Carolina, Facts And Photos
mkuu leo umeteleza kidogo.
kesho usijekutuwekea huyu wa thailand ukatuambia ni Mabwepande