is there any problem for me to reply first??

BedbugHivi kunguni kwa kingereza anaitwaje?
Bedbugs or bedbugkunguni=bed dog
Achana na wanawake tafuta pesa, mpaka leo bado unaishi gheto??wakuu
jana nilifanikiwa kuvushwa na demu wangu ambaye hapo awali alizoea kuja na kulala kwangu, migegedo yote huwa nafanyia kwangu
huyu mwanamke ananyodo na minato hatariii, yaani akija gheto anajifanya mjuvi wa kila kitu na aishiwi kunikosoa juu ya mambo ya usafi na jinsi ya kupanga vitu vya gheto
basi wikiend hii ndipo namimi nikakomaa kwamba lazima nikapumzkie kwake na ikiwezekana nilale huko hadi asubuhi
nilifanikiwa kulala huko, yaliyonikuta ni hatari tupu full tafrani na kunguni, yaaani kitanda kinakunguni kama majini wanyonya damu!
usiku kucha hakuna kulala, maana ukitulia tu umeng'atwa
nimekaa na kumtafakari leo siku nzima, inakuaje mademu mnajifanya wajuvi kwenye mageto yetu wanaume ilhali ya kwenu yanawashinda?
nimemwambia sitakubali na siwezi kuishi na mtu mchafu, maana kunguni ndio makazi yao hayo
aisee we kiboko ushamwambia tu?wakuu
jana nilifanikiwa kuvushwa na demu wangu ambaye hapo awali alizoea kuja na kulala kwangu, migegedo yote huwa nafanyia kwangu
huyu mwanamke ananyodo na minato hatariii, yaani akija gheto anajifanya mjuvi wa kila kitu na aishiwi kunikosoa juu ya mambo ya usafi na jinsi ya kupanga vitu vya gheto
basi wikiend hii ndipo namimi nikakomaa kwamba lazima nikapumzkie kwake na ikiwezekana nilale huko hadi asubuhi
nilifanikiwa kulala huko, yaliyonikuta ni hatari tupu full tafrani na kunguni, yaaani kitanda kinakunguni kama majini wanyonya damu!
usiku kucha hakuna kulala, maana ukitulia tu umeng'atwa
nimekaa na kumtafakari leo siku nzima, inakuaje mademu mnajifanya wajuvi kwenye mageto yetu wanaume ilhali ya kwenu yanawashinda?
nimemwambia sitakubali na siwezi kuishi na mtu mchafu, maana kunguni ndio makazi yao hayo
Bujibuji hahaaKuna kunguni wa kichawi hao wanakuja usiku mmoja tu kwa ajili ya kuvunja na kuharibu mahusiano. Watch out
rubii una misemo hahahaNdege wafananao huruka pamoja.
Kuna kunguni wa kichawi hao wanakuja usiku mmoja tu kwa ajili ya kuvunja na kuharibu mahusiano. Watch out
Heri kupata mwanamke mwenye tabia zinazorekebishika lakini mzuri wa sura kuliko kinyume chakewakuu
jana nilifanikiwa kuvushwa na demu wangu ambaye hapo awali alizoea kuja na kulala kwangu, migegedo yote huwa nafanyia kwangu
huyu mwanamke ananyodo na minato hatariii, yaani akija gheto anajifanya mjuvi wa kila kitu na aishiwi kunikosoa juu ya mambo ya usafi na jinsi ya kupanga vitu vya gheto
basi wikiend hii ndipo namimi nikakomaa kwamba lazima nikapumzkie kwake na ikiwezekana nilale huko hadi asubuhi
nilifanikiwa kulala huko, yaliyonikuta ni hatari tupu full tafrani na kunguni, yaaani kitanda kinakunguni kama majini wanyonya damu!
usiku kucha hakuna kulala, maana ukitulia tu umeng'atwa
nimekaa na kumtafakari leo siku nzima, inakuaje mademu mnajifanya wajuvi kwenye mageto yetu wanaume ilhali ya kwenu yanawashinda?
nimemwambia sitakubali na siwezi kuishi na mtu mchafu, maana kunguni ndio makazi yao hayo
wewe ndiye ulikosea, pale hukwenda kulala bali ulikwenda kugegeda, kama ungegegeda mwanzo mwisho wala usingeumwa na kunguni
Hivyo hakutakiwa kulala eee.

Emmyta, kama ni kulala angelala kwake, pale alikwenda kugegeda na si kulala na kukagua kama kuna kunguni![]()
![]()
Hivyo hakutakiwa kulala eee.
![]()
![]()