Nyodo nyingi, getho lake limejaa kunguni

Mwanamme type yako hatari sana hata kwa matumizi ya Binadamu,kama umeshindwa kumstiri Mpenzi wako utaweza kumstiri jirani? sio vizuri Mwanamme hawi hivyo ebu badilika hizo ni tabia za wadada kusemana Be a Man..
 
Jmn kunguni wana kera, sisahau advance, Yaan shm ukijua ina kunguni inatakiwa unaenda kulala pale ukiwa umechoka kinyama, yaan unafika kitandan tuuu Usingz unakubeba, Yaan unazima moja kwa moja mpk asubuh ukutane na manundu yako ila ushalala, Half yale madudu hayaishagi ilikua kila weekend dawa ya kutosha ila j tatu tuu, wamejaa mpk kwenye Notes, ukileta utani anajificha kweny beg mnakutana class, yaan hakubali umuache.
 
wakuu

jana nilifanikiwa kuvushwa na demu wangu ambaye hapo awali alizoea kuja na kulala kwangu, migegedo yote huwa nafanyia kwangu

huyu mwanamke ananyodo na minato hatariii, yaani akija gheto anajifanya mjuvi wa kila kitu na aishiwi kunikosoa juu ya mambo ya usafi na jinsi ya kupanga vitu vya gheto

basi wikiend hii ndipo namimi nikakomaa kwamba lazima nikapumzkie kwake na ikiwezekana nilale huko hadi asubuhi

nilifanikiwa kulala huko, yaliyonikuta ni hatari tupu full tafrani na kunguni, yaaani kitanda kinakunguni kama majini wanyonya damu!

usiku kucha hakuna kulala, maana ukitulia tu umeng'atwa

nimekaa na kumtafakari leo siku nzima, inakuaje mademu mnajifanya wajuvi kwenye mageto yetu wanaume ilhali ya kwenu yanawashinda?

nimemwambia sitakubali na siwezi kuishi na mtu mchafu, maana kunguni ndio makazi yao hayo
Ila na wewe una akili za kitoto sana, wewe badala ya kumsaidia mwenzio aondokane na hiyo adha wewe unakuja huku kumnanga! Shenzi kabisa, na nyie madogo wa form 6 msije huku kuleta mada za ajabuajabu.
 
wewe ndiye ulikosea, pale hukwenda kulala bali ulikwenda kugegeda, kama ungegegeda mwanzo mwisho wala usingeumwa na kunguni
 
wakuu

jana nilifanikiwa kuvushwa na demu wangu ambaye hapo awali alizoea kuja na kulala kwangu, migegedo yote huwa nafanyia kwangu

huyu mwanamke ananyodo na minato hatariii, yaani akija gheto anajifanya mjuvi wa kila kitu na aishiwi kunikosoa juu ya mambo ya usafi na jinsi ya kupanga vitu vya gheto

basi wikiend hii ndipo namimi nikakomaa kwamba lazima nikapumzkie kwake na ikiwezekana nilale huko hadi asubuhi

nilifanikiwa kulala huko, yaliyonikuta ni hatari tupu full tafrani na kunguni, yaaani kitanda kinakunguni kama majini wanyonya damu!

usiku kucha hakuna kulala, maana ukitulia tu umeng'atwa

nimekaa na kumtafakari leo siku nzima, inakuaje mademu mnajifanya wajuvi kwenye mageto yetu wanaume ilhali ya kwenu yanawashinda?

nimemwambia sitakubali na siwezi kuishi na mtu mchafu, maana kunguni ndio makazi yao hayo

Bed bugs

Hivi kunguni kwa kingereza anaitwaje?
 
Hawa wadudu hawanaga dawa wanaondokaga tu wakiamua cha msingi chumba kiwe kisafi na mwanga wakutosha
 
Mwanaume kamili hasemi siri za mti wake hadharan,,,mi nilijua anaishi kwao kumbe nae ana gheto lake? Hzo kunguni zimeletwa na mwenzako,au demu wako kazichukua gest kazileta home..

Mwanaume aliekamilika akili mwili na fikra chanya,,angeamka asbhi,unaenda kununua dawa ya kuua kunguni,,unamwambia mpenz chumba kina kungun so ngija nipake dawa,unakukuruka kumwaga dawa kila sehem,mwsho unamwambia twende ukakae kwang mpka haruf yte ya sumu iishe,,hpo utakua umemfundisha bila kumkera..

Nb.. Mwanamke anaenata sana na kujiona hua anafuata mwanaume mwenye kariba yake,so jichunguze vzr unatabia kama za demu wako na ndio maana umekuja kuleta siri za demu wako
 
Mwanaume kamili hasemi siri za mti wake hadharan,,,mi nilijua anaishi kwao kumbe nae ana gheto lake? Hzo kunguni zimeletwa na mwenzako,au demu wako kazichukua gest kazileta home..

Mwanaume aliekamilika akili mwili na fikra chanya,,angeamka asbhi,unaenda kununua dawa ya kuua kunguni,,unamwambia mpenz chumba kina kungun so ngija nipake dawa,unakukuruka kumwaga dawa kila sehem,mwsho unamwambia twende ukakae kwang mpka haruf yte ya sumu iishe,,hpo utakua umemfundisha bila kumkera..

Nb.. Mwanamke anaenata sana na kujiona hua anafuata mwanaume mwenye kariba yake,so jichunguze vzr unatabia kama za demu wako na ndio maana umekuja kuleta siri za demu wako
sio siri tena hii

huenda itakuwa imewaamsha na mademu wengine kuhusu suala la usafi majumbani mwao na sio kuja kutukomalia sie wanaume tu

but umeeleweka mkuu, ameshanunua dawa teyari na kuna mtu sasa kapewa kazi soon itapigwa
 
Back
Top Bottom