Eyo ticha nimesimama hayashime, natisha naposhika mike kama masai kashika sime../
Nawasha washa sasa imewaka nani azime, naokota tanga naua mwanza zika tarime.../
Push rythms kama mjani man wanaelewa, mi na rap na nikama zambi niliyopewa.../
Flani na flani wanaelewa, hawataki tu kusema sauti hewani mtaani sionekani kama hewa.../
Dizasta vina ndio future yako, ni kijogoo uliyemkwepa mtaani halafu ukamkuta kwako...Mi ni kama kumbukumbu ya torati kutoka mwanzo yohana ayubu luka marko.../
kudadadeki hamnipi taji homie, maana huu ujio ni kama bogie ama radi homie..../
Niko kitambo na sihitaji hodi, wala sipingwi ka zinavyopingwa itikadi za kibabilon.../
Aah mnapata uhondo nakili, mjeshi nazalisha rythms kama uoto wa asili.../
Najua sana mwana inakupasa ukasome, na hii waswahili wanaita mwana ukome..../
Dizasta