samtot
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 256
- 143
Ushuani watoto pia wanachelewa kuongea, Huku kwetu Kwamtogole msuto unaanza ukiwa na mwaka mmoja. Ukifisha miaka miwili wewe ni mtaalamu hata matusi unayajua.
Ushuani watoto pia wanachelewa kuongea, Huku kwetu Kwamtogole msuto unaanza ukiwa na mwaka mmoja. Ukifisha miaka miwili wewe ni mtaalamu hata matusi unayajua.
Kaenda wapi Kaenda wapi, ...Ukuuuti Ukuuuti wa mnazi wa mnazi ukija upepooo, wapepeaa
Namtafuta mke wangu namtafuta mke wangu. ...hapa yupo hapa yupo
Nina ndoo yangu, eeh...yai bovu yai bovu.... linanuka linanuka...
huu wimbo una swaga nyingi hahaha
Yes.... womanity haijui hio
hata kwetu piaHuo wa baishoo huku kwetu uswazi tulikuwa tunaimba hivi
Bai shoo I love you baby the baby tuthesa thesa tu Ze yona the yona tothem them to the yona
Therewaa tu three fo Kata kona
Umenikumbusha mbaali saana
Ha ha ha kwa baba Taibali break ya saa nne tubavuka barabara kununua Sun Vita! Nimekaa moja ya mtaa off Malik sikutajii.Hahahahaaa daaah ungekuwa Nyani Ngabu ningekwambia fcuk you. .... unajua kwanini......
We nahisi tulikaa mtaa mmoja au ulikuja kuhamia mtaa ambao sie tulihama hahahahhahahaaa
Hiyo ya yangeyange nipe kucha nyeupe nimefanya sana. Tena nikiwa na kaka zangu, tukienda kwa babu yetu Upanga mtaa wa Malik sijui ule karibu na kwa baba taibali jioni wanapita yangeyange weengiii. Basi tunaanza yangeyange nipe kucha nyeupee hahahahahaha na kweli.....
Huwezi amini hadi sass hivi kucha zangu kama sijapaka hina au rangi ya kucha hizo alama nyeupe zinaonekana daaah
Hahahahahahahahahahaaaa
Old School Re-union...
Huu mchezo wa kuuana mwenzie TOBO BAO!Kula MBAKISHIE BABA ,,,kula MBAKISHIE baba..hapo tunachea fungu la michanga
Wazee w kula daku.... hahahahaAmina rabi Aminaaa,
Amina rabi Aminaaaa,
Hilo shipa la mzee ali, dakitari kalishindwa,
kalitandikia jamvi, alikate kachumbari,
wale watoto wa tabata kimanga na mawenzi, huu wimbo ulitushika sana miaka hiyo.
Tumpeleke hosipitali
Asije kusema kwa baba yakee...
Yesa yeesa yesa
Waaaaaaaa........(sasa hapo kwenye WAAAAA ndo utam ulipo manake mnakutanisha viuno wakaka na wadada)
Hahahahaaa kibumzi rahaaa ikifika wakati wa kitajwa wachumba unakimbiaa kwa aibu uliyemtaja asikuone wakati anatajwa hahahahahahahAisee Kasie kiboko....kibunzi nishaisahau. Sasa kuna ile....
Mali ya mdimu mali ya mdimu....
Saagaaa saaagaaa sagaaaaa....
Kubwikaaa....kubua...kusagaa cha kwanza cha pili cha tatu.....
Katika zooote huu wimbo unanikumbusha mbali sana daaah!! Husna wera ayuu!!??mwanangu kua kua nikutume
nikutume wapi kwa mfalme
kuna ng'ombe zetu 12
mmoja kafa kaliwa nyani
nyani mkinda tumkindule
tusole visiga vya bwana chuma
bwana chuma gani simdodo
simkindu dawa kanabuba..
nadhani na kizaramo ndani humo wala tulikuwa hatujui maneno mengine maana ake nini
Nilikua siupendii huu mchezo eti mtu anaingia kati anakata viuno yaan ilikua wakianza nasepa, bora nikacheze goroli tu.Bilinge bayoyo bilinge bayoyo
Bilinge bayoyo bilinge bayoyo
Tunamuomba Bujibuji aje hapa tumuone maringo yake bingilibingili mpaka chini!
Sio utamsema Mkweo aliyekuzalia Mumeo....Kama Dada wanipenda,kaninulie zeze,nikilala kitandani,zeze lanibembeleza,ahah amina,kusemasema kubaya,utamsema mmeo, aliyekupa hiyo mali