Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,019
Naona Tanesco leo karibia nchi nzima wameamua kufanya yao hadi usiku huu. Najua simu zitakuwa zimebaki 8%.
Anyway, huwa kuna nyimbo chache za zamani ambazo zikipigwa hata leo unapata vibe ambayo haichuji.
Zangu ni:
■Seya ya papii na nguza
■naksh naksh ya kiba
■she got a gwan ya ngwair
■kimya kimya ya jay mo
■mapenzi ni kitu gani ya mb dogg
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Anyway, huwa kuna nyimbo chache za zamani ambazo zikipigwa hata leo unapata vibe ambayo haichuji.
Zangu ni:
■Seya ya papii na nguza
■naksh naksh ya kiba
■she got a gwan ya ngwair
■kimya kimya ya jay mo
■mapenzi ni kitu gani ya mb dogg
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app