tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,327
Nakupenda mpenzi wa konki masta.
Thomas Rhett-die happyHabari zenu wakuu,
Huu ni uzi maalumu wa kuandika nyimbo nzuri za kuingilia ukumbini maharusi.
Kama una idea ya wimbo mzuri ambao maharusi wakiingia nao basi lazima watu wengine wasimame kuimba na kucheza weka hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
absolutely sure,Hopefully ilikuwa kwenye mwaka 2008 hadi 2010 hiviii
😁😁😁😁Mungu nipe Uvumilivu wa Rose Mhando
Ahahahahaa ni wimbo mzuri sana. Dhou maudhui yanaweza yasiwe mazuri sana. Hata mm nimeuimba sana enzi zanguabsolutely sure,
I automatically liked the song pia!! Ila ujumbe wake ndo ngumu kumeza!Ahahahahaa ni wimbo mzuri sana. Dhou maudhui yanaweza yasiwe mazuri sana. Hata mm nimeuimba sana enzi zangu
Ni Martha Baraka aliyeimba tumekuja na Maua siyo MwaipajaBonny mwaitege tumekuja kumchukua
Mwaipaja beatrice Tumekuja na maua
Iyena-diamond ft rayvany