Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,717
- 4,401
Kuna kitu kimoja ambacho wengi hawakijui tokana na upofu wa Kiroho. Kimsingi dunia inaendeshwa na mambo mawill. Neno la Mungu(Unabii) na wakati(Majira). Neno la Mungu (Unabii tena uliotoa Yesu mwenyewe unasema) Sharti injili ihubiriwe kila Mahali na watu wote wasikie kuhusu Yeye(Mathayo 24:14) kwa hiyo sasa ndio wakati(Majira) ya utimilivu wa Neno hilo.
Unachopaswa kufanya ni kutii, kunyenyekea na kumuamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa Maisha yako kwani yeye ndio njia kweli na uzima sababu majira ya ukamilifu wa dahari yametimia sasa. Unasubiri nini mwana JF, fanya maamuzi sasa kwani kesho yako ni fumbo na umilele wako umekaribia. Ataenda wapi kwenye umilele wako? Sasa ndio muda wa kuandaa makazi yako ya umilele wako
Unachopaswa kufanya ni kutii, kunyenyekea na kumuamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa Maisha yako kwani yeye ndio njia kweli na uzima sababu majira ya ukamilifu wa dahari yametimia sasa. Unasubiri nini mwana JF, fanya maamuzi sasa kwani kesho yako ni fumbo na umilele wako umekaribia. Ataenda wapi kwenye umilele wako? Sasa ndio muda wa kuandaa makazi yako ya umilele wako


