Again, DINI. Umeongea vizuri hapa, dini hazijaundwa na Mungu bali binadamu na kanuni ama amri zote mle zimewekwa na wanadamu ili kutawala na kuwatisha wenzao. Umeshawahi kusikia fulani kahukumiwa kifo na Mungu baada ya kunywa pombe? Msipende kujikaririsha upuuzi tu, tumieni akili. DINI zimeundwa kwa ajili ya kutishia wanadamu na kuwatawala kwa sababu zama zile Mashariki ya Kati na Bara la Ulaya watu walikuwa wanauana tu kama mchezo na Mohammed alikuwa kinara wa mauaji, nani anabisha? Bara la Ulaya wazungu walikuwa wanauana hovyo, wanafilana, wanabakana, wanafanya mapenzi na wanyama, na kushea wapenzi wao. Hali ilivyokuwa mbaya ndipo Constantine wa Kwanza akishirikiana na Wafalme 12 wa nchi za Ulaya wakaünda "The Nicene Crede," au makubaliano ya Ukristu, kufuta ujinga uliokuwa unafanywa na wazungu wa karne ile. Lengo haswa ilikuwa kuwafanya wazungu wote kuwa Wakristu kutoka Upagani na waliokataa Ukristu walichinjwa hadharani. Na miaka kibao baadaye alipokuja T.B. Joshua wa Kiarab (Mtume Mohammed), naye akawa anafanya haya haya, kulazimisha watu kuwa Waislam na wakikataa aliwaua. Waafrika tumedanganywa sana kuamini vitu tusivyovijuwa.