MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,727
- 37,030
Tumeuona mkono wako bwana... ukiwa mitungi una vibe sanaDunia na vyote vilivyomo ni vya Mungu....utasemaje bar ni sehemu ya shetani.
Kuna ule wa "Yesu unipende leo kuliko jana", ukipigwa halafu vyombo tayari vimekolea unatamani hadi kumpa dj hug.