black abdu
Senior Member
- Dec 2, 2022
- 157
- 214
- Thread starter
- #61
Mtu akishakunywa anatoka kwenye hali yake ya uelewa wa kawaida. Na ndio maana kuna wengine ili watende dhambi wanakunywa kwanza ndio wanapata ujasiri wa kutenda.Binadamu ni muelewa ndo maana watu wanatubu ..
