BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
Unataka kuvuta jiko niniMwaka 2017 ndio unaishia, inshallaaah
Hii ni thread special ya kuweka nyimbo nzuri za maharusi kuingilia ukumbini, wale wa masihala ambao mtasema wimbo wa "ccm mbele kwa mbele" "nakupenda tu by Dudubaya" nk kausheni
Wajuzi wa nyimbo mwageni hapa, God win naona umeshapitwa na wakati
kwani lazima kuchanga? hutaki unaachaMi sipendi harusi,wanatuchangisha mno.
Kwani yeye anapata ulazima na uhalali wapi wa kuomba mchango! Si aache!!kwani lazima kuchanga? hutaki unaacha