mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
- Thread starter
- #21
Hii ngoma ni all time bestZitaimbwa amapiano zote ila ile ya man'dakiwe ni balaaaaaa
Hii ngoma ni all time bestZitaimbwa amapiano zote ila ile ya man'dakiwe ni balaaaaaa
SawaAmber lulu hawezi kuwa anywhere near to be a proper music artist lakini ile amapiano yako ya una shingapi kali sana pia.
You're very right...ndo amapiano ya mwanzo mwanzo kabisa na q chief ameua humo.Mbona haujamuweka mwamba Q chief tena inawezekana ndio alikuwa msanii wa kwanza kufanya amapiano kwa hapa bongo
Hahaha'View attachment 1857447
Lengo ni kwa huyu.
Umefeli hapo!Kilingana na trend ya amapiano Bongo Land hizi ni nyimbo tatu Bora za amapiano lakini pia nimeweka na nyimbo mbovu zaidi za Amapiano,
Bora zaidi
1. Anajikosha. - Harmonize
2. Mama Amina - Marioo
3. Sadakalawe harmonize
4. Kamseleleko - Mbosso
Mbaya Zaidi
1. IYo diamond ft vocalist
2. amapiano - Baba Levo
3. Zezela nyoko - Baba Levo ft rayvanny
Ukweli unauma, nyimbo kuwa na views wachache si kwamba mbaya.
Embu sema sasa
Hiyo mama Amina ni tamu hatari, hata anajikosha ni noma.Umefeli hapo!
Bangers ni hizi:
1.Mama Amina
2.Anajikosha
3.Una sh.ngapi
4.Iyo
Hizo zingine zote utopolo tu!
Yeah zinataka bass speaker ndio utainjoy 😀Hiyo mama Amina ni tamu hatari, hata anajikosha ni noma.
Pia hiyo iyo nimeielewa sema itanoga zaidi tukishaizoea.
Hizi ngoma spika kubwa hatar
Uko sahihi mkuu....very right....Mario ameua kwenye Mama Amina...!ilo Pini ilo uliache tu...Umefeli hapo!
Bangers ni hizi:
1.Mama Amina
2.Anajikosha
3.Una sh.ngapi
4.Iyo
Hizo zingine zote utopolo tu!
Kweli aiseehAmber lulu hawezi kuwa anywhere near to be a proper music artist lakini ile amapiano yake ya una shingapi kali sana pia.