Mulilo, kuna hukumu ya Mungu inakusubiri, Samia hatakuwepo, utajibu wewe mwenyewe
Bado una muda wa kurekeisha kasoro!
na nyie polisi pamoja na kwamba mnatii amri, chukulia mama zenu , ndugu zenu wa damu for clarity , wamekuja kwenye kesi ya Lisu mahakamani, mtawapiga na kuwapeleka Mabwe pande/ununio /Bagamoyo na kuwatesa.
Basi usiyoweza kuwatendea msiwatendee chadema na wafuasi wao.
“The evil that men do lives after them; the good is oft interred with their bones.” These insightful words were spoken by Marc Antony in Shakespeare's Julius Caesar.
Bado una muda wa kurekeisha kasoro!
na nyie polisi pamoja na kwamba mnatii amri, chukulia mama zenu , ndugu zenu wa damu for clarity , wamekuja kwenye kesi ya Lisu mahakamani, mtawapiga na kuwapeleka Mabwe pande/ununio /Bagamoyo na kuwatesa.
Basi usiyoweza kuwatendea msiwatendee chadema na wafuasi wao.
“The evil that men do lives after them; the good is oft interred with their bones.” These insightful words were spoken by Marc Antony in Shakespeare's Julius Caesar.