nina PHD,toka tu mkuu,kama umeichoka JF
duuuh tuition chuo kikuu? Mleta uzi hembu anza kwanza ww kufundisha hiyo tuition halafu sisi tutafata.
PhD ya akina tulia labda. Gambo alimwambiaga mwanasheria wa handeni kwamba degree yake ni ya chuuupinina PHD,toka tu mkuu,kama umeichoka JF
wewe unayo??au PHD ya visheti?
Daaaah ama kweli masikini akipata ....yaani huyu M.A.L.A.Y.A kapata buzi leo limempa 5000 basi ndo akaona vijana wanaosubir ajira ndo wa kulingishia duuuuh.....Haya maana wewe una DUKA...Endelea kuuza bidhaa yako....
Naonea huruma wazazi wako kwa kuzaa poyoyo kama wewe,naona hii topic umeivalia kibwebwe yapi yanakusibu?
Ukichaa mwingine si lazima uvue nguo!Haya umesikika kakojoe upande kitandani ulale.No siwaombi,wewe ndio uchukue TIME!
wewe hapa ni JF ,sio nyumbani kwako ambapo unatoa orders,amka!
Sidhani kama kuna siku ntajutia kukutukana ningejutia kama ningepita tu bila kukutusi...hongera kwa kusaidia licha ya kuwa sifahamu unawasaidia nn zaid ya kuwaenjoy....mkuu usiniangushie jumba bovu,nilikua najaribu kusaidia,afu usitumie matusi,siku moja ukikua,na ukaangalia post zako za nyuma utajiona mjinga.